Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Amesisitiza dhamira ya Serikali yake katika kukomesha Mauaji ya kiholela nchini humo, kwa kuagiza Mipango ya Mageuzi ya Jeshi hilo na uangalizi wa Raia.
Haya yanajiri siku chache tu baada ya kusambaratisha Kitengo cha Polisi kinachodaiwa kuhusika na Mauaji na watu kutoweka ambao wameongezeka katika miaka ya hivi karibuni.
Ripoti zinasema kuwa hatua hiyo ilifuatia uchunguzi wa kutoweka kwa raia wawili wa India na dereva wao wa eneo hilo mwezi Julai na Mauaji ya Mwandishi wa #Pakistan, #AshradSharif.
……………….
Kenyan President William Ruto has reaffirmed his government’s commitment to end extra-judicial killings in the country, by ordering a police watchdog to draw up plans for reforms with civilian oversight.
This comes just days after he disbanded a police unit alleged to be behind murders and disappearances that have soared in recent years.
Reports say the move followed an investigation into the disappearance of two Indian nationals and their local driver in July.
Kenyan police were on the spotlight this past week over the killing of Pakistani journalist Ashrad Sharif in what they claim was a case of mistaken identity.
Such killings have previously caused a diplomatic storm, with governments demanding justice for their slain nationals.
Last week, 12 Kenya police officers were told they would face charges of crimes against humanity for their alleged role in offences committed during the 2017 election period, including the murder of a six-month-old baby.
Source: BBC
Haya yanajiri siku chache tu baada ya kusambaratisha Kitengo cha Polisi kinachodaiwa kuhusika na Mauaji na watu kutoweka ambao wameongezeka katika miaka ya hivi karibuni.
Ripoti zinasema kuwa hatua hiyo ilifuatia uchunguzi wa kutoweka kwa raia wawili wa India na dereva wao wa eneo hilo mwezi Julai na Mauaji ya Mwandishi wa #Pakistan, #AshradSharif.
……………….
Kenyan President William Ruto has reaffirmed his government’s commitment to end extra-judicial killings in the country, by ordering a police watchdog to draw up plans for reforms with civilian oversight.
This comes just days after he disbanded a police unit alleged to be behind murders and disappearances that have soared in recent years.
Reports say the move followed an investigation into the disappearance of two Indian nationals and their local driver in July.
Kenyan police were on the spotlight this past week over the killing of Pakistani journalist Ashrad Sharif in what they claim was a case of mistaken identity.
Such killings have previously caused a diplomatic storm, with governments demanding justice for their slain nationals.
Last week, 12 Kenya police officers were told they would face charges of crimes against humanity for their alleged role in offences committed during the 2017 election period, including the murder of a six-month-old baby.
Source: BBC