Kenya ranked 14 sexiest nationality in survey.

Kenya ranked 14 sexiest nationality in survey.

Capitalism is not the answer to every economic problem!
Ni very easy kusema hivyo of which ni kweli,ngoma ni useme mfumo gani ni bora mbadala wa huu kama upo,haupo na wala hakuna!!!!

Sio mavi ya socialism wala communism,wala upumbavu mwingine...!
 
Dada Jeni

Ni afadhali waibe kuliko kuteka watu kila siku,watu tunaishi kwa hofu kama digidigi!

Hata wakiiba wanatumia hela hizo hizo humu nchini,ni afadhali kidogo!

Kenya wanapiga hatua na rushwa ni changamoto wataipatia jawabu.....

Sisi tuna changamoto nyingi mno....kama ifuatavyo:

-Uchumi wetu mdogo na haifanyi vizuri
-Katiba ya hovyo kabisa
-Demokrasia ipo ICU
-Elimu yetu ni ya hovyo
-Hatufati capitalism inavyotakiwa
-etc
Kubwa ni elimu ya hovyo na mbaya zaidi asilimia kubwa ya waTanzania hawaoni kuwa hilo ni tatizo
 
Back
Top Bottom