Kenya ranked third largest tourism economy in sub-saharan Africa.

Unataka uone wakitua tz waje kenya kufanya nini[emoji16][emoji16][emoji16], yaani watakuwa wamebakiza nini ambacho kinapatikana Kenya!!!

Ila hawawezi tua Kenya wakaacha kuja tz[emoji23][emoji23][emoji23], hata mke wako anajua hii.
Unaponda uwanja wenu wa ndege na mashirika yenu ya usafiri wa anga. Inawabidi waje Kenya kwanza wapende wasipende, uwanja wa ndege wa JKIA ndio hub ukanda huu na sio kwa watalii pekee yake hata kwa wanabiashara. Tafakari hayo.
 
I know umesoma tu heading ukateremka kwa comments because you see reading as a punishment. OK, I have plucked part of the content and I want you to read it please.
Total lies and fabrication. Duh.


Sent using Jamii Forums mobile app
"Kenya is currently the third largest tourism economy in Sub-Saharan Africa after South Africa and Nigeria, according to the Ministry of Tourism and Wildlife.

In a statement, the ministry said Last year, travel and tourism grew by 5.6 per cent to contribute Sh790 billion and 1.1 million jobs to the Kenyan economy."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti mnakamua pole pole ama mnakamuliwa pole pole? Hivi hii 4.8 trillion iko wapi?
 

Hicho siyo kiswahili.
 
Hicho siyo kiswahili.
Sijakuelewa, 'Jambo Bwana' ndio phrase ya tatu, ya kiswahili, kwa umaarufu duniani(nje ya bara hili) baada ya 'Hakuna Matata' na 'Safari'. Hayo yote ni kwasababu ya Kenya na wakenya.
 
Tanzania wanashangaa vipi hawafiki hata nusu ya $7.5b ya Kenya.
 
So itasaidia kuondoa vibanda vyote vya mathare na kibera?Na sukuma witi ita changanywa na nyama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…