Your brain is full of nonsense, siyo Tz! Na ni ngumu sana wewe kujitambua maana hata hujui kuwa unachokitetea hukijuiTanzania lacks almost everything - vision in terms of economy industries (not factories), farms of all sorts: diary and poultry and above all democracy.
Let your brains work, at least for once. Nimekwambia Kenya has many industries that Tz, na kwa taarifa yako hata tourist sector ya Rwanda inaingiza hela nyingi kuliko Tz.
Tukiangali hata upande wa minerals Kenya sells far higher a bigger sale of Tanzanite than us, where are we (tusiokuwa vibaraka)?
Hiyo flower industry wenzetu wako mbele because they have a huge market share than us due to their good marketing strategies. Sintashangaa kuna mamlaka ya maua au chombo kinachoshinda ofisini tu ili uuze maua. Kenya mkulima wa maua ana mteja wake Ulaya, na wanakwenda mbali sana hadi wanauza mno New York, USA.
Acha kutoka povu na lugha isiyofaa kwa ushabiki wa kisiasa; you'd better learn to LISTEN to understand rather than listen ti RESPOND!
Kwa hiyo Wakenya ndio wanakuja kuturescue tuingie kwenye mikataba na wakina Carl Peters?
Tanzania inaogopa nini huko wakati biashara ya kufanya na wazungu hakuna? Mazao ya kilimo kama chai, kahawa, pareto, pamba na tumbaku yanaundiwa na mamlaka nyingi kiasi cha kumuumiza mkulima kwa sababu bei ya sokoni faida inaliwa na mamlaka hizo
Acha ujinga wewe, Tanzania inaingiza hela nyingi kwenye utalii kuliko nchi yoyote Afrika Mashariki na ni ya tatu kwa Afrika yote.
Mada hii ipo nje ya upeo wako naona unaongea pumba na hadithi za vijiweni, sio lazima uchangie hata kama hujui vitu.
Wewe jamaa sijui ni Msukule?Acheni woga, huwezi kujua kina cha maji bila kutia mguu wako.
Acheni woga, huwezi kujua kina cha maji bila kutia mguu wako.
Hujui lolote kuhusu huo mpango wa EPA.
Hujui lolote kuhusu huo mpango wa EPA.
Kwa taarifa yako I know much better than you think, kwa kukufahamisha tu nafanya kazi kwenye kampuni ya utalii airport inayojishughlisha na uwindaji, kukodisha ndege pamoja na kufanyia matengenezo / services ndege ndogo. Mwezi jana kampuni iliwapa redundancy wafanyakazi 52 kwa sababu wawindaji wamepungua mno (wanakwenda Masai Mara), wanaokwenda Zanzibar nao wamepungua mno (nenda kaulize hata pale Azam Marine). Kampuni imejikuta kuwa na ndege nyingi kwa sasa zikifukuza wateja wachache.
Watalii waliokuwa wamefanta booking kwa ajili ya msimu unaoanza mwezi wa saba wengi wame cancel.
Haya mwenye upeo fanyia kazi hayo niliyokupa halafu umeze ukweli.
Andika kwa Kiswahili mzeeWhich benefits that does not befit Tanzania.
Kkq mbona unang'ang'ania uoga?, kupanga ni kuchagua, nyie ni nchi huru na mna mipango yenu na wala Tanzania haina sababu ya kiwaingilia,
Pia Tanzania ni nchi huru na ina mipango yake
Mipango ya kuwafanya wananchi maskini kila uchao?
Narudia tena hujui lolote, unaleta unyumbu wako humu bila ya kuwa na takwimu zozote. Peleka unyumbu wako kwenye jukwaa la siasa, humu hatujadili mambo ya uchama.
And ikaisha kwa Kiswahili mzee
Ndio tulichoridhika nacho Watanzania, wewe Mkenya inakuuma nini?,
Tourism ya Rwanda inaingiza faida kushinda Tz? Come againLet your brains work, at least for once. Nimekwambia Kenya has many industries that Tz, na kwa taarifa yako hata tourist sector ya Rwanda inaingiza hela nyingi kuliko Tz.
Tukiangali hata upande wa minerals Kenya sells far higher a bigger sale of Tanzanite than us, where are we (tusiokuwa vibaraka)?
Hiyo flower industry wenzetu wako mbele because they have a huge market share than us due to their good marketing strategies. Sintashangaa kuna mamlaka ya maua au chombo kinachoshinda ofisini tu ili uuze maua. Kenya mkulima wa maua ana mteja wake Ulaya, na wanakwenda mbali sana hadi wanauza mno New York, USA.
Acha kutoka povu na lugha isiyofaa kwa ushabiki wa kisiasa; you'd better learn to LISTEN to understand rather than listen ti RESPOND!