Kenya recalls envoy to Somalia


[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ilitakiwa unielewe nikimaanisha tunapodai tunaichukua pemba iliyoporwa tunapitia na mombasa.

Ishu y mpaka isikupe tabu,ni swala la kuamua tu tunakata pasi ndefu kutokea hapo Moshi kuitafuta mombasa,halafu tunatoa amri UN na itambulike hivyo.
 
Enda soma historia ya Shifta War wewe!
 
tracebongo kama kuna Nchi rahisi kuchapa ni tz wanaume wa kukatakatwa kwa mipanga na huku wamejiami kwa latest state of the art guns. Nyie kitu mnaweza ni vita za mdomo.
Hivi wanaume wa Kenya si ndio mnaongoza kwa kupigwa na wake zenu?

Nyie labda mpigane na Burundi tu,ndio size yenu.
 
Hamuiwezi Somalia hata wakifumba macho watawapiga sana
Kwanza kwa tamaa na wizi mtawauzia silaha badala ya kupigana
Tunajua mlivyo na tamaa ya maisha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Usijadili hoja kiushabiki mkuu. Wameshindwa na alshabaab wao hadi tunawapa usaidizi toka AMISON jeshi ndilo wataweza!
 
Kawaida yao kuiba hawana ubinadamu, lakini kwa Somalia wamepamia ipo siku kenya watai crimea

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwenye lile tukio la West gate ndiyo wali ishangaza dunia.. wanajeshi badala ya kupambana na magaidi wanaiba chocolate na kunywa juice huku wakimung'unya pipi! kushtuka magaida wamesha sepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye lile tukio la West gate ndiyo wali ishangaza dunia.. wanajeshi badala ya kupambana na magaidi wanaiba chocolate na kunywa juice huku wakimung'unya pipi! kushtuka magaida wamesha sepa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa ni aibu ya mwaka, mpaka officers wanaiba na walitumia bunduki kuvunja safe za hela kwenye maduka

Yaani jamaa hawa ni majizi sana mimi niliapa kutokupita airport yao maana afisa mmoja alikuwa anaiba sanduku langu akilitoa nje ya airport baada ya kumshtaki Emirates akaanza kuniuliza passport
Nimekoma kupita huko

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Ujinga wako hauna tuba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…