eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwani curfew iliondolewa Kenya?
Kenya is using tthe methods which are not helpful at all. Look now at the current stats, it is at epidemic proportional.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani curfew iliondolewa Kenya?
Sisi tushasahau Corona Kwanza hapa tunasheherekea tu kumkung'uta mtani 4G hata barakola sijui barakao tushasahau hata zinavaliwaje, hebu wangalie braza wako anavyovulahia maisha ya nchi yenye watu na akili zao.Ai magufuli jamani keshasema hakuna kupima maiti..
Ama nimeswna vibaya jamani
Kwanza ardhi yao haina mbolea sasa Bora wafe tu waongeze mboji ,kwi kwi kwi kwi kwiHata mkenya akifa ana faida gani?ghasia kabisa!
Leo imesoma 479!natamani waingie super lockdown.Wana kitengeneza kinyago,alafu kina watisha wenyewe.
Viongozi wao inabidi wajiongeze kuokoa uchumi na wananchi pia.Wakenya wamekomaa, lazima wabebe kombe la covid