Kevin85ify JF-Expert Member Joined Apr 6, 2019 Posts 2,684 Reaction score 3,429 Oct 20, 2020 #21 Ndiyo lazima wapige collabo na uganda na rwanda. Hawajui biashara najua hata hiyo collabo ni murundi ama muganda ndiye ataongoza. Hii ni sababu moja Kenya ilikataa kuingia hiyo upuzi yao ya soko moja ya eac ya kuuza hisa.
Ndiyo lazima wapige collabo na uganda na rwanda. Hawajui biashara najua hata hiyo collabo ni murundi ama muganda ndiye ataongoza. Hii ni sababu moja Kenya ilikataa kuingia hiyo upuzi yao ya soko moja ya eac ya kuuza hisa.
KDF-BabaYao JF-Expert Member Joined Sep 2, 2014 Posts 221 Reaction score 317 Oct 20, 2020 #22 Halafu walikuwa wanataka stock market ipi iungane na ipi?😒