Kenya sacks 25,000 striking health workers

Kenya sacks 25,000 striking health workers

Serikali za kiafrika ubabe bila kutimiza wajibu!
 
Dawa pekee ni kufukuza kazi madaktari wote walio kwenye mgomo na isiishie hapo tu bali tuwafungulie mashitaka na kuwapeleka gerezani mara moja. Ingekuwa Nyerere wasingeleta upuuzi huu wa kugoma.
 
Wale waliofukuzwa kenya si ma dr ni nesi, hata bongo wangegoma manesi wangeweza kufukuzwa, madaktari ni ishu nyingine kabisa, juzijuzi tu waligoma ma dr huko kenya na hawakufanywa chochote zaidi ya serikali yao kusalimu amri.
 
Serikali dhalimu za kiafrika zinakuwa na vtabia fulani vinavyofanana.. kukurupuka na kuchukua maamuzi ya kibabe.. Umeshahi kuona wapi ati unafukuza watumishi 25,000..?! Na wakenya hawakubali maana na wao waligomaga mwanzo wakapewa ahadi za uongo ambazo hazikutimizwa.. Nw wamerudi kugoma tena.. And this time's for real..
 
Safi sana JK na wewe fanya kweli kesho washike adabu yao.

Kumbuka si kila mtu anaweza kuwa Daktari..

Na kuna waliowahi kuendekeza tabia za kuigaiga,mwishowe walipasuka msamba!
 
Safi sana JK na wewe fanya kweli kesho washike adabu yao.

Msimdanganye M-kwere wa watu hapa matokeo yake akajikuta anabadilisha jangwani kuwa Tahrir square bila kupenda!
 
Kumbuka si kila mtu anaweza kuwa Daktari..

Na kuna waliowahi kuendekeza tabia za kuigaiga,mwishowe walipasuka msamba!

tanzania registered doctors hawazidi elfu tatu pamoja na walio kwenye private practise. Ngoja wawatimue aafu waingie wao kutibu. Si kuna kina dr bana,nchimbi,kikwete,nagu,migiro nk. Yawezekana wakatosha.
 
Kwenye hiyo idadi uliotoa ongeza 22,500
 
Dawa pekee ni kufukuza kazi madaktari wote walio kwenye mgomo na isiishie hapo tu bali tuwafungulie mashitaka na kuwapeleka gerezani mara moja. Ingekuwa Nyerere wasingeleta upuuzi huu wa kugoma.

Tafakari kwa kina... SI KILA MTU ANAWEZA KUWA DAKTARI....

Dakika 5 hadi 10 zinatosha kutafakari hilo,na ukaandika insha ya maneno hata Elfu moja!
 
Dawa pekee ni kufukuza kazi madaktari wote walio kwenye mgomo na isiishie hapo tu bali tuwafungulie mashitaka na kuwapeleka gerezani mara moja. Ingekuwa Nyerere wasingeleta upuuzi huu wa kugoma.
Nyerere= kikwete? JK ni vuguvugu hafai kabisa!
 
Kwa serikali za kiafrika sishangai jambo hili kutokea ila ngoja niangalie CITIZEN LIVE AT 9:00.
 
Nacheki tv(ya kenya)madaktari 25,000 wamefukuzwa waliokua kwenye mgomo,kenya rais kikwete anahutubia taifa kupitia wazee wa dar saa kumi ss sijui kama na yy ataiga huo mkumbo au lah.
ninyi usalama wa taifa ndiyo tatizo no. 2 baada ya baba riz.
 
Ni wafanyakazi wote wa sector ya afya wapatao elfu 25 taarifa kutoka citizen tv at 9pm. Je jk nae kesho kupitia wazee wake ataiga ama vp? Tusubiria
 
Ni kweli wamefukuzwa na hilo limetangazwa leo na msemajiwa serikali ya Kenya bw. William Mtua. Pia wametangaza kuwa kuanzia kesho wenye taaluma hizo waombe hizo nafasi zilizo wazi. Tusubiri ya Tanzania maana hapa naona mkuu ataiga kutoka kwa Kibaki. THE TIME WILL TELL
 
wale sio madaktari ni manesi wewe endeleza propaganda mmeshindwa kujivua gamba mna piga kelele
 
Ni kweli wamefukuzwa na hilo limetangazwa leo na msemajiwa serikali ya Kenya bw. William Mtua. Pia wametangaza kuwa kuanzia kesho wenye taaluma hizo waombe hizo nafasi zilizo wazi. Tusubiri ya Tanzania maana hapa naona mkuu ataiga kutoka kwa Kibaki. THE TIME WILL TELL
Nyie endeleeni kumvimbisha kichwa...kwanza wale si madaktari.
 
Tanzania msije makawaiga wakenya wale wana madaktari kibao .
 
Kenya itawanya wapi Ma Dr 25,000?

Binafsi nina Ma class mate 3 ni Ma Dr Kenya kwa miaka zaidi ya 15 sasa. Ma Dr wengine wa kitanzaniaa walio watangulia huko wako kibao. Kungekuwa na Ma Dr 25,000 wakenya wangejitoshereza katika safu hiyo.

Hata wakiwajumrishaa Akina Dr Matunge,Dr Majiya kina Dr Munufu Munyagane na akina Dr Mwandulami bado idadi haiwezi kufika 25,000.
 
Back
Top Bottom