johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Ewura imetangaza bei mpya ya mafuta bila kufafanua Serikali imeweka ruzuku kiasi gani kule Kenya Serikali yao imetenga kiasi cha dola za kimarekani milioni 295 kama ruzuku ili kupunguza maumivu ya bei kwa wananchi
Kupanda kwa bei ya mafuta ni tatizo la kidunia.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Kupanda kwa bei ya mafuta ni tatizo la kidunia.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia