Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni taarifa huitaji kuchangia chochote.Haijitoshelezi,unataka mtu achangie nini?ljenga hoja zenye mvuto,muelekeo na zenye muonekano.
Wakati Ewura imetangaza bei mpya ya mafuta bila kufafanua serikali imeweka ruzuku kiasi gani kule Kenya serikali yao imetenga kiasi cha dolla za kimarekani milioni 295 kama ruzuku ili kupunguza maumivu ya bei kwa wananchi
Kupanda kwa bei ya mafuta ni tatizo la kidunia.
Source: BBC Dira ya Dunia
Kenya wamesema kupunguza machungu ya inflation kwa ku pump $m295
Akikujibu jibu la maana nishtue
Unaambiwa mafuta yamepanda bei duniani kote. Hiyo katiba mpya itakuwa ya dunia?Mzizi wa fitina ni Katiba Mpya.
Unafirw.... WeweLisu na gaidi wake kimyaaaa.
Tutashitakiwa MIGA
Sasa hiyo inahusiana vipi na Katiba? Hujui hayo ni matakwa ya serikali, wanaangalia kama wana hizo hela au lah.Kenya wamesema kupunguza machungu ya inflation kwa ku pump $m295
Tatizo ni watu wala si katiba, twaweza pata katiba mpya ila mijitu ya hovyo ikaharibuUmeshamkimbiza harudi tena huyo!
Wanavaa mashati ya njano sikuhizi?Ufipa st!
Yaan wewe mbulula wa Lumumba Kuna mbuge pale wa ccm anayetetea wananchi au wanawaza matumbo Yao na watoto wao. Na ndo waliotufikisha hapa tulipo