johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa hiyo lisu anahusikaje hapaLisu na gaidi wake kimyaaaa.
Tutashitakiwa MIGA
ilitakiwa atutete siyo Kula pizza [emoji487] tu Belgium mbona kipindi cha nyuma Magufur alivyo kuwa ana wasokota Barrick alikuwa kimbelembele kuongea kwa kuwa tetea wazunguKwa hiyo lisu anahusikaje hapa
CHUKI yako sasa imeshakuwa kama ugonjwa....Lisu na gaidi wake kimyaaaa.
Tutashitakiwa MIGA
Jiongeleeni wenyewe kwani hamna midomoilitakiwa atutete siyo Kula pizza [emoji487] tu Belgium mbona kipindi cha nyuma Magufur alivyo kuwa ana wasokota Barrick alikuwa kimbelembele kuongea kwa kuwa tetea wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nategemea hii umemtumia pia Mwenyekiti wetu kawa hatua zaidi bwashee....Wakati Ewura imetangaza bei mpya ya mafuta bila kufafanua serikali imeweka ruzuku kiasi gani kule Kenya serikali yao imetenga kiasi cha dolla za kimarekani milioni 295 kama ruzuku ili kupunguza maumivu ya bei kwa wananchi
Kupanda kwa bei ya mafuta ni tatizo la kidunia.
Source: BBC Dira ya Dunia
Akutete wapi wakati Hangaya hataki mikutano ya hadharani?Halafu apigwe risasi na magufuli aje akutete kwa lipi?ilitakiwa atutete siyo Kula pizza [emoji487] tu Belgium mbona kipindi cha nyuma Magufur alivyo kuwa ana wasokota Barrick alikuwa kimbelembele kuongea kwa kuwa tetea wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kwenye makinikia na kukamatwa kwa ndege mbona alikuwa ana wazungumzia au alikuwa ana kula kwa urefu wa kamba yake?Jiongeleeni wenyewe kwani hamna midomo
Amechoka kuongea sasa maana watanzania hatuna shukraniMbona kwenye makinikia na kukamatwa kwa ndege mbona alikuwa ana wazungumzia au alikuwa ana kula kwa urefu wa kamba yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama huna data hautusaidii.sana sana its gossip. Panga hoja kwa takwimu.Vingivyo acha kuigeuza Jamii Forum kama Musiba forum.Wakati Ewura imetangaza bei mpya ya mafuta bila kufafanua serikali imeweka ruzuku kiasi gani kule Kenya serikali yao imetenga kiasi cha dolla za kimarekani milioni 295 kama ruzuku ili kupunguza maumivu ya bei kwa wananchi
Kupanda kwa bei ya mafuta ni tatizo la kidunia.
Source: BBC Dira ya Dunia
Pole sana mikataba ya Madini tunaendelea kupigwa na tunatakiwa kulipia dola nyingi sana kuanzia wewe na vitu kuu vyakoKwani kipindi kile Barrick na wenye makinikia walikuwa hawana midomo yakujitete mpaka Lissu akawa ana watetea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo $ 295 milioni siyo takwimu?Mkuu kama huna data hautusaidii.sana sana its gossip. Panga hoja kwa takwimu.Vingivyo acha kuigeuza Jamii Forum kama Musiba forum.
Umeshamkimbiza harudi tena huyo!
Haijitoshelezi,unataka mtu achangie nini?ljenga hoja zenye mvuto,muelekeo na zenye muonekano.Hiyo $ 295 milioni siyo takwimu?
Source yangu iliishia hapo ukitaka ziada nenda Rau Madukani.