Kenya: Serikali yafuta Ruzuku ya Mafuta, bei yapanda zaidi

Kenya: Serikali yafuta Ruzuku ya Mafuta, bei yapanda zaidi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Bei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77

Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.

Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
 
Wasikilizaji [emoji101] juu kama sungura kuushuhudia mtifuano wa majirani waliopongezwa kwa ukomavu wa kidemokrasia. Hadi mataifa makubwa ya Ulaya na Magharibi wameipa Kenya kongole.

Ngoja tuone kifuatacho kama kitapunguza mmzigo wa ugumu wa maisha mwananchi wa kawaida
 
images - 2022-09-05T125249.999.jpeg
 
Bei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77

Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.

Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
Safi ngoja waipate washenzi
 
Bei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77

Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.

Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
Uchaguzi umeisha ngoja waone moto
 
Bei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77

Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.

Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
Hiyo ndiyo serikali ya Kenya Kwisha siyo Kenya Kwanza.

Watapata shida watu wa Azimio la Umoja wanaomiliki vyombo vya moto, watu wa Kenya Kwisha wao waliishazoea wheelbarrows.
 
Kwani nyie bei zenu zimepoa hadi mnawasikitikia wakenya, si bora kenya wana uchumi mkubwa na vipato vyao huenda viko juu kuliko hapa bongolala.....
 
Kwani nyie bei zenu zimepoa hadi mnawasikitikia wakenya, si bora kenya wana uchumi mkubwa na vipato vyao huenda viko juu kuliko hapa bongolala.....
Vipato vya wananchi ni kama bongo mkuu, sioni tofauti ya maisha ya mtu mmoja mmoja na Tanzania.
Kama wanatuzidi kiuchumi kiserikali.
 
Back
Top Bottom