Kenya: Serikali yafuta Ruzuku ya Mafuta, bei yapanda zaidi

Kenya: Serikali yafuta Ruzuku ya Mafuta, bei yapanda zaidi

Vipato vya wananchi ni kama bongo mkuu, sioni tofauti ya maisha ya mtu mmoja mmoja na Tanzania.
Kama wanatuzidi kiuchumi kiserikali.
Uchumi ukiwa mkubwa na hivyo hivyo vipato vya watu lazima viwe vikubwa........maana vipato vikubwa au mzunguko mkubwa wa pesa ndo unafanya uchumi kuwa juu zaidi na pia serikali inakuwa na uwezo wa kulipa zaidi au kufanya matumizi zaidi.
 
Uchumi ukiwa mkubwa na hivyo hivyo vipato vya watu lazima viwe vikubwa........maana vipato vikubwa au mzunguko mkubwa wa pesa ndo unafanya uchumi kuwa juu zaidi na pia serikali inakuwa na uwezo wa kulipa zaidi au kufanya matumizi zaidi.
Sahih uchumi wa wenzetu Ni mkubwa kuliko huu wa kwetu jamaa pesa zipo mno ni taifa la sita kwa uchumi mkubwa Africa ya Kwanza ikiwa Nigeria na ikifatwa kwa karibu south africa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa kuna meli zake za Mahindi na Mchele na Mafuta zipo njiani. Tunakumbuka kipindi cha mahindi ya Tanzania ya sumu kuvu kumbe ana mzigo wake wa mahindi anataka auze
 
Back
Top Bottom