Safi ngoja waipate washenziBei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77
Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.
Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
Uchaguzi umeisha ngoja waone motoBei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77
Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.
Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
Hiyo ndiyo serikali ya Kenya Kwisha siyo Kenya Kwanza.Bei mpya kuanzia leo kwa Petroli inayotumiwa zaidi na magari mengi binafsi ni Tsh. 3,468,45 kwa lita kutoka Tsh. 3,100.29, huku Dizeli ambayo hutumiwa na wasafirishaji na viwanda ni Tsh. 3,197.17, Mafuta ya Taa ni Tsh. 2,867.77
Haya yanajiri baada ya Rais William Ruto kutangaza kuwa utawala wake utaondoa ruzuku ya mafuta na chakula kwa maelezo kuwa imekuwa haitekelezeki na inaongeza mzigo kwa serikali.
Kumekuwa na wasiwasi kwamba kuondolewa kabisa kwa ruzuku hizo kungeathiri uchumi kwa kiasi kikubwa kwani bei ya mafuta huathiri moja kwa moja gharama ya maisha.
[emoji1787]
Gari litazima asipoangaliaKaanzia gear kubwa sana. Angeanza na 1.
Iyo 1 ndo gear kubwa gear zinazofuatia zote ni ndogo kwa namba moja.Kaanzia gear kubwa sana. Angeanza na 1.
Vipato vya wananchi ni kama bongo mkuu, sioni tofauti ya maisha ya mtu mmoja mmoja na Tanzania.Kwani nyie bei zenu zimepoa hadi mnawasikitikia wakenya, si bora kenya wana uchumi mkubwa na vipato vyao huenda viko juu kuliko hapa bongolala.....