Kenya: Serikali yapiga marufuku maandamano katikati ya miji ya Mombasa, Kisumu na Nairobi

Kenya: Serikali yapiga marufuku maandamano katikati ya miji ya Mombasa, Kisumu na Nairobi

Kweli mda ni mwamuzi mzuri
Zitto na waropokaji wengine kutoka CHADEMA mko wapi aisee?
 
Katika maandamano kamahayo wezi ndio huvuruga maana wanachangamkia fursa yakuvunja na kuiba Mali zawatu.
Chandomo wapo??? Maana walipopigwa BAN walilalamika wakati walikuwa wameandaa mapipa ya mafuta kuyalipua ili kuanzisha vita, sasa waone huyo waliyekuwa wanampigia chapuo
 
Kweli mda ni mwamuzi mzuri
Zitto na waropokaji wengine kutoka CHADEMA mko wapi aisee?
Halafu inachekesha sana, yaani wanasiasa wa kibongo ni vichwa vya hakuna uwezo wa kufikiri, wanaendeshwa na mihemuko
 
Hayo maandamano hayajakua ya amani kamwe labda Mombasa tu...kisumu na Nairobi uporaji wa mali na uharibifu wa mali ndo imesheheni kila wakati NASA wanaandamana.yani hadi county ya homabay wamewapiga polisi watatu na kuwajeruhi vibaya.wanaosema maandamano yamekua ya amani hamjui chochote.ingekua serikali isiowajibika ikuwa haingeingilia kati, rights to picketing has limits
 
Hayo maandamano hayajakua ya amani kamwe labda Mombasa tu...kisumu na Nairobi uporaji wa mali na uharibifu wa mali ndo imesheheni kila wakati NASA wanaandamana.yani hadi county ya homabay wamewapiga polisi watatu na kuwajeruhi vibaya.wanaosema maandamano yamekua ya amani hamjui chochote.ingekua serikali isiowajibika ikuwa haingeingilia kati, rights to picketing has limits
Siku zote maandamano yanakuwa hivyo huku Afrika, taja ni nchi gani Afrika maandamano yalimalizika bila fujofujo japo kidogo?, kawaida waandamanaji au polisi wanaanzisha fujo, mlipopitisha kwenye katiba kuruhusu maandamano hamkulijua hilo, kwani mnaishi pinguni?, huko ni kukandamiza demokrasia kama anavyofanya Magufuli, yeye pia alitoa sababu hizo hizo kwamba maandamano yatavunja amani, haiwezikani akizuia Magufuli iwe ni udikteta, lakini kwa Uhuru Kenyatta kuwe ni halali.
 
Siku zote maandamano yanakuwa hivyo huku Afrika, taja ni nchi gani Afrika maandamano yalimalizika bila fujofujo japo kidogo?, kawaida waandamanaji au polisi wanaanzisha fujo, mlipopitisha kwenye katiba kuruhusu maandamano hamkulijua hilo, kwani mnaishi pinguni?, huko ni kukandamiza demokrasia kama anavyofanya Magufuli, yeye pia alitoa sababu hizo hizo kwamba maandamano yatavunja amani, haiwezikani akizuia Magufuli iwe ni udikteta, lakini kwa Uhuru Kenyatta kuwe ni halali.
6783ddaa16f9abbaa8162659fde2214b.jpg
 
Back
Top Bottom