luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Acha uongo ww ! wote walivyo kuja kuna barabara ambayo ilikuwa inahudumiwa na mzabuni mmoja kwa ajili ya usafi wa iyo baarabara ndio walifanya usafi ktk iyo barabara kwa kudeki na mashine maalumu na sio watu kama mnavyo tuonyeshea upuuzi wenuNajua mtakana ya Obama kwasababu asili yake ni Kenya ila George Bush naye pia mlimdekia barabara. Hata dawa ya kungamiza mbu mlipuliza kote kote mitaani. [emoji1] Wabongo kwa shobo bana.