Kenya Shilling Loses against Tz Shilling

Hata kama ingekuwa 1Ksh=10Tshs bado sioni cha maana.
Hii shilling ya Kenya ina thamani kuliko pesa ya Japan, sijui kiuchumi imekaaje hiyo.
 
Could somebody explain what's happening to our neighbors there? JF has never ran out of great thinkers
 
Hata kama ingekuwa 1Ksh=10Tshs bado sioni cha maana.
Hii shilling ya Kenya ina thamani kuliko pesa ya Japan, sijui kiuchumi imekaaje hiyo.

Kiwango cha thanani ya pesa hakina uhusiano na utajiri au umaskini wa nchi. Kwa mfano Japanese Yen ni shilingi 18.24 za Tanzania au shilingi 0.913 za Kenya, lakini Japan ni moja ya mataifa tajiri kabisa duniani. Ni kama ya tatu au ya nne kwa utajiri duniani. Kwa kifupi unaweza kuipa thamani kubwa pesa yako lakini usipate mtu anayeihitaji hiyo pesa yako kwa biashara zake kama huna kitu cha kumfanya mtu aihitaji hiyo hela yako!
 
Ume eleweka Mkuu.
Kwa maana hiyo ni ujuha wakenya kuita shilling ya Tanzania pesa ya madafu?
 
Lakini kwanini CCM hawaoni kama kuna haja ya kuamsha uchumi wetu angalau uwe sambamba na wa Kenya, jilani wetu ana enjoy sana kua na sleeping giants (Tz)
Tunafurahia kulala. We are sleeping until "God bless us"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…