Sasa kama mbunge anamwita kiongozi mwenzake Yesu kuna elimu hapoKwa kigezo gani Elimu ya Kenya inaizidi ya tz?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama mbunge anamwita kiongozi mwenzake Yesu kuna elimu hapoKwa kigezo gani Elimu ya Kenya inaizidi ya tz?
Walimu wa Kenya watapokea mishahara full year bila kufanya kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakenya ukiwa unaongea proper english wanahesabu ni elimu kubwa
Machakos kuanzia February mpaka June watoto elfu 4 wamepata mimba,je mpaka Jan 2021 kutakuwa na mimba ngapi?Bado hapo hawajapiga za county nyingine. Kweli msemo wa akili ni nywele kila mtu ana zake hauzataja za eneo gani.
Alarm as 3,964 girls impregnated in Machakos County in five months
Na wale wa private jeWalimu wa Kenya watapokea mishahara full year bila kufanya kazi
Waige Nchi ya GDP $63b ilhali yao Ni zaidi ya $100b? Nani hapa anafaa amuige mwingine?Wakenya na rais wao wanatamani kutuiga watanzania ila kwa aibu waliyonayo wanaona bora wavunge tu.
Shule private zinafunza online so wanaendelea kulipwa.Na wale wa private je
Lake zone.Wewe Kwanza umetoka sehemu gani za Tz?
Kenya ifunge shule miaka 10 bado elimu yake itazidi ya TZ.
Victoria au Tanganyika?Lake zone.
Kwa kigezo gani Elimu ya Kenya inaizidi ya tz?
Huku tuna kanda moja tu inaitwa Lake zone.Victoria au Tanganyika?
Acha kuropoka wewe leta ushahidi.Kenya ifunge shule miaka 10 bado elimu yake itazidi ya TZ.
Nyanya yangu hawezi kuwa na Kiswahili cha kilevi namna hiyo!Nyanya yako [emoji4][emoji4]
Kenya wanatakiwa kuwaiga Tanzania,Waige Nchi ya GDP $63b ilhali yao Ni zaidi ya $100b? Nani hapa anafaa amuige mwingine?