joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Bro,mbona propaganda?
Kama ambavyo Forbes imeiweka Kenya katika nafasi ya 7 katika nchi hatari zaidi duniani kwasasa, wakenya wameendelea kudhihirisha ukweli huo kwa kuendeleza mauaji ya kinyama na kutisha karibu kila siku.
Ikumbukwe kwamba, mauaji hutokea katika nchi nyingi, lakini mauaji yanapotokea Mara kwa Mara kama inavyotokea Kenya, South Africa, Nigeria au Egypt, ndio wasiwasi na hofu inavyozidi miongoni mwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.
Swali ni kwamba, wakenya wamekumbwa na jinamizi gani?, mbona inaonekana wanafanya mambo ya hovyo kiasi hiki?
R.I.P. Dogo, tutaonana paradiso.
Huyo jamaa achana na yeye he is a jobless and a bitter lowlife . Kazi yake anashindanga online 24/7 kutafuta negative news kuhusu Kenya.Bro,mbona propaganda?
Hauna aibu kuamkia Kila siku na chuki kwa nchi jirani????
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.Huyo jamaa achana na yeye he is a jobless and a bitter lowlife . Kazi yake anshindanga online 24/7 kutafuta negative news kuhusu Kenya.
Walai,I wonder if ako joblessHuyo jamaa achana na yeye he is a jobless and a bitter lowlife . Kazi yake anshindanga online 24/7 kutafuta negative news kuhusu Kenya.
Jobless and killing each other like wild animals, which deserves to be wondered?Walai,I wonder if ako jobless
Huyo jamaa achana na yeye he is a jobless and a bitter lowlife . Kazi yake anashindanga online 24/7 kutafuta negative news kuhusu Kenya.
Acha umama chuki au ukweli au video ujaonaBro,mbona propaganda?
Hauna aibu kuamkia Kila siku na chuki kwa nchi jirani????
Sawa basi! Kunywa mihogo na chai alafu ulaleJobless and killing each other like wild animals, which deserves to be wondered?
Shida you guys haven't gotten enough exposure to the outside world. Are criminal activities new to you?Acha umama chuki au ukweli au video ujaona
To get enough exposure is to get used to criminal activities, really?. Unless some one is exposed to Kenya, Afghanistan, Yemen, South Africa or Nigeria.Shida you guys haven't gotten enough exposure to the outside world. Are criminal activities new to you?
What about the rampant kidnappings and homicides going on in your country??
How about the multiple cases of serial killings and cannibalism cases reported in your country??
How about your chief opposition leader- Tundu Lissu getting shot more than ten times??
How about the encroachment of jihadist groups from North Mozambique??
How about the multiple rape cases going on in your country??
How about that son?
Hii ni kweli mkuu[emoji116][emoji116][emoji116]
Kama ambavyo Forbes imeiweka Kenya katika nafasi ya 7 katika nchi hatari zaidi duniani kwasasa, wakenya wameendelea kudhihirisha ukweli huo kwa kuendeleza mauaji ya kinyama na kutisha karibu kila siku.
Ikumbukwe kwamba, mauaji hutokea katika nchi nyingi, lakini mauaji yanapotokea Mara kwa Mara kama inavyotokea Kenya, South Africa, Nigeria au Egypt, ndio wasiwasi na hofu inavyozidi miongoni mwa wananchi na jumuiya ya kimataifa.
Swali ni kwamba, wakenya wamekumbwa na jinamizi gani?, mbona inaonekana wanafanya mambo ya hovyo kiasi hiki?
R.I.P. Dogo, tutaonana paradiso.
Hii ni kweli mkuu[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1217698
Sawa,ila sikuelewi ata kidogo. Ungeandika kiswahili badala ya kingeresa kibovoTo get enough exposure is to get used to criminal activities, really?. Unless some one is exposed to Kenya, Afghanistan, Yemen, South Africa or Nigeria.
Can you give us evidence which shows that, those criminal activities you have mentioned occur in daily basis like in Kenya. Can you mention any which had occurred within last 30 days?.
In Kenya these killings take place every two, if not everyday. Try to read comments of your fellow Kenyans below this video clips, they are ashamed to identify themselves as Kenyans wherever they are because of these killings.
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.Sawa,ila sikuelewi ata kidogo. Ungeandika kiswahili badala ya kingeresa kibovo
Haaa haaaa Wakeii ako Na Swahili mzuri sanaMi napendanga sana kiswahili yenu vile mwaongeanga. Ako muzuri sana.
WaTz tupo vizuri kwa Kinge.To get enough exposure is to get used to criminal activities, really?. Unless some one is exposed to Kenya, Afghanistan, Yemen, South Africa or Nigeria.
Can you give us evidence which shows that, those criminal activities you have mentioned occur in daily basis like in Kenya. Can you mention any which had occurred within last 30 days?.
In Kenya these killings take place every two, if not everyday. Try to read comments of your fellow Kenyans below this video clips, they are ashamed to identify themselves as Kenyans wherever they are because of these killings.
Tii sheria bila kushurutishwa.