Kenya Suffers Blow as USA and European countries Pull Out of U18 Championship

Kenya Suffers Blow as USA and European countries Pull Out of U18 Championship

Tafuta hoja kaka. Labda ungeanzisha uzi na title kama" Je ni kwa nini bongo hatushindi medali kwenye michezo za kimataifa hata ziwe kwa nchi ya karibu kv Kenya ". Ungeanzisha uzi hivyo ningekupa darasa
Wewe ndo uanzishe huo uzi,ntutachangia!

Hoja hapa ni kwamba mashindano ya mwaka huu yamepata pigo baada ya hayo mataifa niliyoyataja kukataa kushiriki masindano kwa kuhofia usalama wao!

Taifa kama marekani ambalo limekuwa likishiriki mfululizo tangu mwaka 1999 na kuwa na idadi kubwa ya washiriki kuliko taifa lolote ni pigo kubwa!

Kukosekana kwa Australia, Switzerland, New Zealand na Britain ni pigo kubwa sana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Wewe ndo uanzishe huo uzi,ntutachangia!

Hoja hapa ni kwamba mashindano ya mwaka huu yamepata pigo baada ya hayo mataifa niliyoyataja kukataa kushiriki masindano kwa kuhofia usalama wao!

Taifa kama marekani ambalo limekuwa likishiriki mfululizo tangu mwaka 1999 na kuwa na idadi kubwa ya washiriki kuliko taifa lolote ni pigo kubwa!

Kukosekana kwa Australia, Switzerland, New Zealand na Britain ni pigo kubwa sana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.


Kuna mataifa 136 zinashiriki.
 
Wewe ndo uanzishe huo uzi,ntutachangia!

Hoja hapa ni kwamba mashindano ya mwaka huu yamepata pigo baada ya hayo mataifa niliyoyataja kukataa kushiriki masindano kwa kuhofia usalama wao!

Taifa kama marekani ambalo limekuwa likishiriki mfululizo tangu mwaka 1999 na kuwa na idadi kubwa ya washiriki kuliko taifa lolote ni pigo kubwa!

Kukosekana kwa Australia, Switzerland, New Zealand na Britain ni pigo kubwa sana!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Ukiondoa USA wale wengine sio mababe wa riadha. Wana upuzzy mwingi na zile travel advisory zao, hazitamzuia ngombe kunywa maji. Utahesabu akina Jamaica kutoshiriki kama pigo. Kadri unavyozidi kupayukapayuka na mijungujungu, akina Uganda na Zimbabwe wamejitahidi mno kwenye haya mashindano. Mbona wabongo mbio hamjui?
 
Kuna mataifa 136 zinashiriki.
Najua, lakini bado ni pigo kwa mataifa makubwa ambayo huwa yanachukua medali nyingi kama hayo kutoshiriki!

Hata uongozi wa IAAF waliliona hilo na wengine walienda mbali zaidi kwa kupendekeza mashindano yahairishwe!

Baadae waliamua kuendelea, hivyo hilo ni pigo

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Ukiondoa USA wale wengine sio mababe wa riadha. Wana upuzzy mwingi na zile travel advisory zao, hazitamzuia ngombe kunywa maji. Utahesabu akina Jamaica kutoshiriki kama pigo. Kadri unavyozidi kupayukapayuka na mijungujungu, akina Uganda na Zimbabwe wamejitahidi mno kwenye haya mashindano. Mbona wabongo mbio hamjui?

Kwani hayo ni mashindano ya riadha peke yake? Ipo michezo mingi sana!

Well kuhusu riadha kiwango chenu na chetu vinatofautiana, ni sawa nyie tunavyowashinda kwenye mziki kuanzia wa kileo na wa dini!



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Kwani hayo ni mashindano ya riadha peke yake? Ipo michezo mingi sana!

Well kuhusu riadha kiwango chenu na chetu vinatofautiana, ni sawa nyie tunavyowashinda kwenye mziki kuanzia wa kileo na wa dini!



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Bongo lipo wapi pale?
 
Pale wamebaki na nchi za Africa na mashariki ya mbali tu!


Fear over terrorism

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.

Mbona mataifa yenye hadhi hata kuzidi Marekani yamekuja, nyie Marekani huwa wamewaingia pabaya kwamba wakisusa chochote mnaingiwa na kiwewe. Halafu Tanzania kawaida wazembe hamuwezi kuambulia chochote kwenye michezo kama hii.
Nyie mlilaaniwa uzembe maana hata mpira imebidi timu za nje zije kucheza kwenu wakati mpo pembeni mnaangalia kwa majungu, nchi yenu mna kila kitu lakini umaskini unawatawala.

Mjerumani ambaye aliwakoloni na kuwatafuna nyie amekuja, njooni mkamshabikie...
 
Rudi kwenye hoja

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Ujerumani ambayo umeitaja kugoma tayari wameshinda medali 2 ya dhahabu na wanaongoza kwa sasa. Ufaransa pia wameweza kushinda medali 1 ya dhahabu. Sio muhimu USA kushiriki. Angalia tena kutoka 2009 mpaka wa sasa ni akina nani wako top 3 kila mara. Aisee mnatia aibu sana wabongo, msipochunga Kilimanjaro nalo tutanyakua kimya kimya.
 
Mashindano yamedoda kama Kadoda
Hahaha eti Kenyataa University village kama ya Olimpiki uwiiiiii nafwaaaaaa

Wamelipaka marangi li uwanja lao la Kasarani yaani marangi mekundu kama kiwanda cha kuchinjia ng'ombe . Ni Tanzania tu ndo inaweza kuandaa mashindano kimataifa na nchi zikaja bila woga wowote
 
Ujerumani ambayo umeitaja kugoma tayari wameshinda medali 2 ya dhahabu na wanaongoza kwa sasa. Ufaransa pia wameweza kushinda medali 1 ya dhahabu. Sio muhimu USA kushiriki. Angalia tena kutoka 2009 mpaka wa sasa ni akina nani wako top 3 kila mara. Aisee mnatia aibu sana wabongo, msipochunga Kilimanjaro nalo tutanyakua kimya kimya.


Kwenye hii thread sijataja ujerumani wala ufaransa!

Halafu unasema sio muhimu kwa USA kushiriki! Ha ha haaaa, huwa nakuona kama unajua masuala ya uchumi lakini kumbe ni bure kabisa!

Wacha nikukimbushe kitu, hayo mataifa yamegoma kushiriki kutokana na kukosekana kwa usalama hasa tishio la alshabaab!

Kiuchumi hii ina maana shughuli za utalii zitaathirika kwa kiasi kikubwa maana usitegemee mtalii kutoka hizo nchi kuzuru Kenya kwa siki za hivi karibuni!


Sasa wewe unabwabwaja hapa eti sio muhimu, yaan huyui umuhimu wa watalii wanaotoka USA, Britain, Japan, Australia, New Zealand, Switzerland kwenye uchumi wa nchi yako?


Wewe nyang'au unatia huruma sana!


kwa taarifa yako hata ule mpangonwa KQ kuwa na direct flight to US unarudi kwenye drawing table



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Kwenye hii thread sijataja ujerumani wala ufaransa!

Halafu unasema sio muhimu kwa USA kushiriki! Ha ha haaaa, huwa nakuona kama unajua masuala ya uchumi lakini kumbe ni bure kabisa!

Wacha nikukimbushe kitu, hayo mataifa yamegoma kushiriki kutokana na kukosekana kwa usalama hasa tishio la alshabaab!

Kiuchumi hii ina maana shughuli za utalii zitaathirika kwa kiasi kikubwa maana usitegemee mtalii kutoka hizo nchi kuzuru Kenya kwa siki za hivi karibuni!


Sasa wewe unabwabwaja hapa eti sio muhimu, yaan huyui umuhimu wa watalii wanaotoka USA, Britain, Japan, Australia, New Zealand, Switzerland kwenye uchumi wa nchi yako?


Wewe nyang'au unatia huruma sana!


kwa taarifa yako hata ule mpangonwa KQ kuwa na direct flight to US unarudi kwenye drawing table



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
kwa taarifa yako hata ule mpangonwa KQ kuwa na direct flight to US unarudi kwenye drawing table

kibwagizo kizuri sana hapa chini.....

"A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it."
 
Kwenye hii thread sijataja ujerumani wala ufaransa!

Halafu unasema sio muhimu kwa USA kushiriki! Ha ha haaaa, huwa nakuona kama unajua masuala ya uchumi lakini kumbe ni bure kabisa!

Wacha nikukimbushe kitu, hayo mataifa yamegoma kushiriki kutokana na kukosekana kwa usalama hasa tishio la alshabaab!

Kiuchumi hii ina maana shughuli za utalii zitaathirika kwa kiasi kikubwa maana usitegemee mtalii kutoka hizo nchi kuzuru Kenya kwa siki za hivi karibuni!


Sasa wewe unabwabwaja hapa eti sio muhimu, yaan huyui umuhimu wa watalii wanaotoka USA, Britain, Japan, Australia, New Zealand, Switzerland kwenye uchumi wa nchi yako?


Wewe nyang'au unatia huruma sana!


kwa taarifa yako hata ule mpangonwa KQ kuwa na direct flight to US unarudi kwenye drawing table



A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Kwa taarifa yako, USA wamepewa ushindi mkubwa sana na Jamaica kwenye sprints. Sisi hatubabaiki kama nyie tunaposikia USA kwenye riadha, sisi ni Big Boys /Girls. Unapotaja riadha duniani usifanye kosa kubwa la kutoitaja jina Kenya. Waje nani au nani tunashindana nao sako kw bako. Hamna anayewaogopa USA siku hizi, kwenye riadha wao kama wengine tu. Nchi nyingi sana wana programs kabambe kumarisha riadha yao, Kenya ikiwemo. Sio bahati tulipewa haya mashindano. Jaribuni sana kuimarisha michezo yenu, muwe mababe wa dunia kwa mchezo hata mmoja. Maisha ya kumuabudu mmarekani na sijui New Zealand ni haiba yenu, sisi tunawaona kama wapinzani wakali tu. Ungesema mataifa kama Ethiopia na Jamaica wamegoma kuja labda tungepatana. Yaani jina USA tu inakubabaisha. Majungu, duh!

A person who says something is impossible should not interrupt someone who is doing it.
 
Kwa taarifa yako, USA wamepewa ushindi mkubwa sana na Jamaica kwenye sprints. Sisi hatubabaiki kama nyie tunaposikia USA kwenye riadha, sisi ni Big Boys /Girls. Unapotaja riadha duniani usifanye kosa kubwa la kutoitaja jina Kenya. Waje nani au nani tunashindana nao sako kw bako. Hamna anayewaogopa USA siku hizi, kwenye riadha wao kama wengine tu. Nchi nyingi sana wana programs kabambe kumarisha riadha yao, Kenya ikiwemo. Sio bahati tulipewa haya mashindano. Jaribuni sana kuimarisha michezo yenu, muwe mababe wa dunia kwa mchezo hata mmoja. Maisha ya kumuabudu mmarekani na sijui New Zealand ni haiba yenu, sisi tunawaona kama wapinzani wakali tu. Ungesema mataifa kama Ethiopia na Jamaica wamegoma kuja labda tungepatana. Yaani jina USA tu inakubabaisha. Majungu, duh!

A person who says something is impossible should not interrupt someone who is doing it.
Wow! Naona hujajua athali ninazoziongelea ni zipi! Unafikiri mimi naongelea riadha!? Hapana! Hilo siwezi kupoteza muda kubisha na wewe maana kuna wakati kwenye mashindano haya huwa napenda jinsi Kenya, Ethiopia na SA zinavyoiwakilisha Africa!


Hoja yangu hapa na ambayo tunatakiwa kujadili ni athali za kiuchumi na kitalii zinazojitokeza kutokana na kutokuja kwa nchi hizo kwa kuhofia usalama, hasa suala la ughaidi na fujo za uchaguzi!


Kenya kama yalivyo mataifa mengine yenye vivutio vya kitalii inategemea watalii ili kukuza uchumi wake! Ni wazi kujitoa kwa mataifa hayo kumezua hofu kwa wageni ambao wangekuja Kenya kipindi hiki hivyo wanalazimika kwenda nchi nyingine!

Hili ni pigo kubwa kwenye sekta ya utalii, kubali usikubali!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Mbona mataifa yenye hadhi hata kuzidi Marekani yamekuja, nyie Marekani huwa wamewaingia pabaya kwamba wakisusa chochote mnaingiwa na kiwewe. Halafu Tanzania kawaida wazembe hamuwezi kuambulia chochote kwenye michezo kama hii.
Nyie mlilaaniwa uzembe maana hata mpira imebidi timu za nje zije kucheza kwenu wakati mpo pembeni mnaangalia kwa majungu, nchi yenu mna kila kitu lakini umaskini unawatawala.

Mjerumani ambaye aliwakoloni na kuwatafuna nyie amekuja, njooni mkamshabikie...
Marekani wametuingia pabaya kwa lipi hebu litaje!

Mimi nimeanisha kwenye comments zangu athari za kiuchumi mtakazopata kutokana na kutokuja kwa mataifa hayo kwa sababu za kiusalama!

Wewe unalia lia eti marekani wametuingia akilini, wakati nyie ndo mnawahusudu kila siku!


Unafikiri mimi naongelea medali hapa?

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Back
Top Bottom