Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Sijui ni kwann imekua tabia ya Mazoea kwa wa Afrika ,Leo Ni siku debate for the running mate zinaendelea Kenya,maajabu Ni kwamba kajitokeza dogo mmoja tu as candidate Kati ya wote walioalikwa katika first round .
Bado tunangoja usiku kwa Ruto na Musokya Kama watatokea .
Waafrika tupinguzeni hii aibu ya kuikumbia midahalo
Bado tunangoja usiku kwa Ruto na Musokya Kama watatokea .
Waafrika tupinguzeni hii aibu ya kuikumbia midahalo