Ushoga umekuzidi mpaka unaita wenzio mashoga kama wewe?...Kama hujui ,mashoga wana tabia ya kusema "Oy"!...Hebu jipange.
Kumbe werevu wako ni maandazi sana,yaani ushasahau somo la form two la kwanini EAC ilikufa?Ushasahau?Ulipita sekondari kweli wewe?Mtihani wa Taifa wa Form Two wa Civics na History ulifeli vibaya,maana hakuna sababu kama hiyo uliyoitoa hapa.Please karudie Form Two ujifunze vizuri!
Na pia nijibu hili swali,kwanini sasa hivi EAC imerudi?Sababu ni nini?Swali la Form Two hili.Cha ajabu utafeli tena.
Wewe kiazi acha uganga...Taja hivyo viwanda...Na pia umesahau,tulisoma darasani sababu ya kufa kwa viwanda Tanzania,hakuna sababu mahali eti Wakenya waliiba..Sababu zipo na tulizisoma,unazotoa hapa ni upumbavu na name calling..Viwanda asimilia karibu 80% nchi vilibinafsishwa SA,na vikafa,Kenya ilinunua viwanda vichache tu..Sasa sijui unaonge madudu gani...Sababu zipo,na pia Mkapa alizitaja.Kasome vizuri.
EPA ilihusika vipi na Wakenya au member yoyote wa East Africa?Scandal ya EPA unaifahamu wewe nguruwe?Tuliiba Watanzania wenyewe,sijaona Mkenya au Mganda hata mmoja kwenye list...
Dada yako,mama yako,demu wako wote tupo nae FB na Badoo...Waulize walishaniuzia uchi mara ngapi halafu uje hapa utoe matokeo!
Shida ni kua,huna akili unaishia matusi yasiyokua na mpango..EAC ni bloc,wanashirikiana tangu milenia na milenia,sasa wewe mwehu unaleta chuki za kitoto na za kufikirika mno...Mi nadhani wewe tu ndio una shida na EAC members tu katika personal level yako wewe....Wachawi ndani ya taifa letu ni viongozi wetu na CCM basi...
Leo unasema Waganda,Wakenya,kesho utasema Wachagga wezi wahame Tanzania...Una Xenophobia na hizi ni dalili mbaya sana!