joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hao Wanajeshi wao wana Njaa so wanawaza fursa za kuiba tuKenya majeshi yake ni Congo iliyochangamka.
Hao Wanajeshi wao wana Njaa so wanawaza fursa za kuiba tu
Kenya ilishakufa kitambo. Wamebaki wahuni watupu.Umenikumbusha issue ya westgate saga... KDF walinaswa na camera wanaiba kwenye supermarket
Umenikumbusha issue ya westgate saga... KDF walinaswa na camera wanaiba kwenye supermarket
Hii mbona sio kama wahalifu wanaoshtukiza....Polisi wa GSU wakimbizwa na kuiacha gari
https://www.facebook.com/
Halafu utasikia wanatamba eti ooh nchi yetu ina gdp kubwa kuliko...ha ha ha.Polisi wa GSU wakimbizwa na kuiacha gari
https://www.facebook.com/