Mafuta ya nguruwe hayo bibiHongera sana WAKENYA wote kwa kuwa nchi ya uzalishaji na usafirishaji mafuta.
Kenya strikes Sh1.2 billion oil export deal, Uhuru says
The president said Kenya concluded the first deal on Thursday with 200,000 barrels at a price of Sh1.2 billionwww.standardmedia.co.ke
Hahahaha, hata SGR walikuwa nchi ya kwanza kujenga, lakini ni nchi ya mwisho katika ubora na "Economic value". Hao ni watu wa kukurupuka waonekane ni nchi ya kwanza, hawataki kujipa muda wa kufikiria miradi kwa undani?. Hivi ni nchi gani duniani iliyo na kiwango kidogo cha mafuta kama Kenya (800M barrels),inayosafirisha kwa barabara na inapata faida?.Hongera sana WAKENYA wote kwa kuwa nchi ya uzalishaji na usafirishaji mafuta.
Kenya strikes Sh1.2 billion oil export deal, Uhuru says
The president said Kenya concluded the first deal on Thursday with 200,000 barrels at a price of Sh1.2 billionwww.standardmedia.co.ke
Hahahaha, hata SGR walikuwa nchi ya kwanza kujenga, lakini ni nchi ya mwisho katika ubora na "Economic value". Hao ni watu wa kukurupuka waonekane ni nchi ya kwanza, hawataki kujipa muda wa kufikiria miradi kwa undani?. Hivi ni nchi gani duniani iliyo na kiwango kidogo cha mafuta kama Kenya (800M barrels),inayosafirisha kwa barabara na inapata faida?.
Pipe costs $2.3B, price per one barrel is $50. Total crude oil discovered is 800M barrels, recoverable is 30% of 800M. Does it make sense?Faida ilipatikana, wewe usijali.. Cost ya kusafirisha sio mingi, labda $1 million. Tumwamini Tullow wanaouza mafuta au mTanzania pale Tandale anaejua kusafiri kutumia daladala tuu?
Hio ya barabara ilikua market test sio full production, to know how much Kenyan good low sulphur oil can fetch in international market. Pipeline will be complete in 2022.
Pipe costs $2.3B, price per one barrel is $50. Total crude oil discovered is 800M barrels, recoverable is 30% of 800M. Does it make sense?
Mwenzako ameishi Canada kwa zaidi ya miaka 40, usimchukulie poa.Haiya kumbe Faiza unasoma gazeti la kiingereza? Ebu andika kwa lugha hio tufurahie kidogo
Mwenzako ameishi Canada kwa zaidi ya miaka 40, usimchukulie poa.
kilam sikujua Faiza anakifahamu kiingereza kunishinda. Halafu leo amekuwa mzuri anatupongeza kwa roho safi. Sijui amekula nini leo.
Ni demu mzuri sana huyo. Pale huwa anakosea ni kutetea magaidi kisa ni waislamu kama yeye. Kwa mambo mengine yupo sawakilam sikujua Faiza anakifahamu kiingereza kunishinda. Halafu leo amekuwa mzuri anatupongeza kwa roho safi. Sijui amekula nini leo.
Ni demu mzuri sana huyo. Pale huwa anakosea ni kutetea magaidi kisa ni waislamu kama yeye. Kwa mambo mengine yupo sawa
Labda anaishi Quebec!!!???
πππππ€£
Hahahaha, hata SGR walikuwa nchi ya kwanza kujenga, lakini ni nchi ya mwisho katika ubora na "Economic value". Hao ni watu wa kukurupuka waonekane ni nchi ya kwanza, hawataki kujipa muda wa kufikiria miradi kwa undani?. Hivi ni nchi gani duniani iliyo na kiwango kidogo cha mafuta kama Kenya (800M barrels),inayosafirisha kwa barabara na inapata faida?.
Hahahaha 264M x$60 = $9.84B, stop cooking data. $9.84 - $2.3 = 7.54BWhere did you get 30% recoverable figure?
Anyway if so, 30% of 800M is 264M x $60 is $16b. 16b - 2.3b is 13.7b
Recoverable oil is about 600M not 264M. So realistically its $36b-$2.3b=33.7b. Makes perfect business sense, au vipi? Now imagine if prices rise to $90 per barrel!!