ROBERT MICHAEL JF-Expert Member Joined Oct 23, 2012 Posts 5,054 Reaction score 2,858 Aug 6, 2019 #41 MK254 said: Naandika nikifuta na kuandika upya, maana siamini pongezi za mleta mada...what's the catch..... Anyway shukrani kama kweli hizo pongezi ni za dhati. Click to expand... Kwanini hauamini mtani, kwenye pongezi tupeane pongezi na kwenye kukosoana tukosoane.
MK254 said: Naandika nikifuta na kuandika upya, maana siamini pongezi za mleta mada...what's the catch..... Anyway shukrani kama kweli hizo pongezi ni za dhati. Click to expand... Kwanini hauamini mtani, kwenye pongezi tupeane pongezi na kwenye kukosoana tukosoane.
ROBERT MICHAEL JF-Expert Member Joined Oct 23, 2012 Posts 5,054 Reaction score 2,858 Aug 6, 2019 #42 pingli-nywee said: Siamini macho yangu. [emoji15][emoji15][emoji15] Huu utakuwa ni mtego wa kunasa fuko. Acha nisiseme mengi, nisije nikajibiwa kwamba nilienda shuleni kuvunja madirisha. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23]
pingli-nywee said: Siamini macho yangu. [emoji15][emoji15][emoji15] Huu utakuwa ni mtego wa kunasa fuko. Acha nisiseme mengi, nisije nikajibiwa kwamba nilienda shuleni kuvunja madirisha. Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23]
J Jozi 1 JF-Expert Member Joined Aug 16, 2015 Posts 6,563 Reaction score 4,145 Aug 6, 2019 #43 Mdomo bakuli said: Mafuta ya nguruwe hayo bibi Click to expand... Huu ni ukorofi