Kenya: The King of Wind energy in the region and beyond (final turbine installed at Kipeto Wind Farm)

Kenya: The King of Wind energy in the region and beyond (final turbine installed at Kipeto Wind Farm)

Kevin85ify,

PSX_20200615_001929.jpg
PSX_20200615_002008.jpg
 
Safi sana, umeme wa uhakika siku zote, yaani tunapiga kazi hadi raha...
 
Yaani huna aibu kutuwekea hapa mradi wa megawati 2.4 wakati Kenya tuna mradi uliokamilika unaozalisha megawati zaidi ya 300? Wacha mchezo bwana. Nyie bado sana.
😂😂 nilikua nakuonesha tu kwamba huo upuzi wa umeme wa upepo sio kipaumbele chetu, lakini miradi kama hiyo tunayo.

Tanzania kama giant wa east africa tunawekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika kama mradi mkubwa wa rufiji unavyoendelea, pia tuna gas na makaa ya mawe ya kutosha, lakini usisau kua Tanzania tuna uranium, kwa hiyo kuhusu umeme wala amtupi shida kabisa
 
The smallest wind farm in Kenya generates 25 MW (Kengen ngong hills wind farm) and you think 2.4 MW is "Kipekee". Tanzanians always find a way to go lower than you expect.
Umeme wa upepo sisi sio kipaumbele chetu lakini miradi kama hiyo tunayo pia. Tanzania tunavyanzo vingi vya kutupa umeme wenye uhakika na ndio tunawekeza uko, nadhani umeona mradi mkubwa unaondelea uko rufiji, lakini pia tumewekeza kwenye gesi na makaa ya mawe, na kwa taarifa yako tu, labda kama ulikua aujui Tanzania tuna madini ya uranium kwa hiyo kuhusu umeme nyie kueni wa pole tu.
 
😂😂 nilikua nakuonesha tu kwamba huo upuzi wa umeme wa upepo sio kipaumbele chetu, lakini miradi kama hiyo tunayo.

Tanzania kama giant wa east africa tunawekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika kama mradi mkubwa wa rufiji unavyoendelea, pia tuna gas na makaa ya mawe ya kutosha, lakini usisau kua Tanzania tuna uranium, kwa hiyo kuhusu umeme wala amtupi shida kabisa
Tanzania ni giant wa East Africa kwa landmass, poverty, disease, malnutrition/utapiamlo na Elimu duni.
 
😂😂 nilikua nakuonesha tu kwamba huo upuzi wa umeme wa upepo sio kipaumbele chetu, lakini miradi kama hiyo .tunayo.

Tanzania kama giant wa east africa tunawekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika kama mradi mkubwa wa rufiji unavyoendelea, pia tuna gas na makaa ya mawe ya kutosha, lakini usisau kua Tanzania tuna uranium, kwa hiyo kuhusu umeme wala amtupi shida kabisa.
Punguza mihadarati! You do not have such because nobody wants to invest in your energy sector.
 
Umeme wa upepo sisi sio kipaumbele chetu lakini miradi kama hiyo tunayo pia. Tanzania tunavyanzo vingi vya kutupa umeme wenye uhakika na ndio tunawekeza uko, nadhani umeona mradi mkubwa unaondelea uko rufiji, lakini pia tumewekeza kwenye gesi na makaa ya mawe, na kwa taarifa yako tu, labda kama ulikua aujui Tanzania tuna madini ya uranium kwa hiyo kuhusu umeme nyie kueni wa pole tu.
Hebu tueleze jinsi vipi umeme wa wind power si umeme wa kihakika
 
Lets be honest, this whole green energy movement has led countries to come up with shitty solutions.
Wind energy is shit, very low efficiency, freaking expensive to build, takes up a huge amount of land, very low ROI, I don't see the reason why a lot of countries are jumping on this stupid bandwagon.

There is a better option, nuclear energy, very high efficiency, very low risk, very high return on investment, very low downsides, it's the source of energy that has killed less people per power produced. We should definitely look into nuclear and stop wasting time on these century old methods of producing electricity.
 
Unachekesha sana au unafanya comedy, hii nchi kila mtu anaitamani brother, maendeleo yetu yali stuck sababu ya kuwasaidia wa africa wenzetu wanakua na uhuru kutoka kwa wakoloni, sababu Tz kama kaka yenu ilikua ni lazima tuakikishe madogo mnakua salama kwanza
 
Hebu tueleze jinsi vipi umeme wa wind power si umeme wa kihakika
Nchi zote zenye maendeleo makubwa zimewekeza kwenye umeme wa nuclear ges na makaa ya mawe, na umeme w upepo ni kama ziada tu, na ndivyo Tz tunavyofanya, ukizingatia resources zote tunazo zakufanya tuwe na umeme wa uhakika kama makaa ya mawe, gesi, na madini ya uranium
 
Nchi zote zenye maendeleo makubwa zimewekeza kwenye umeme wa nuclear ges na makaa ya mawe, na umeme w upepo ni kama ziada tu, na ndivyo Tz tunavyofanya, ukizingatia resources zote tunazo zakufanya tuwe na umeme wa uhakika kama makaa ya mawe, gesi, na madini ya uranium
We ni kama unalinganisha nchi za uzunguni na sisi, Hii 300MW au 100MW au 400MW tunazojisifia hapa Africa ni kidogo sana, Wind engergy kule ujerumani inazalisha 25,000 MW hio 25GW huko kwao ndo 'umeme wa ziada' wakati huku kwetu hio 25GW ni sawa na umeme wa Subsahara Africa nzima ukiondoa SA.
 
Instead of being envious try and build your private sector so that investors can be attracted to your energy sector. I know you are waiting on GOT to deliver power projects like Rufiji 2000MW dam. Kenya left that to the private sector who have projects lined up to inject 2600 MW into the grid by 2023 with only 400MW out of 2600 coming from a majority government company (Kengen).
duh hapa umejifariji kwa kujidanganya sana, hongera sana keep dreaming sir
 
Back
Top Bottom