Enda shule uketi kitako ukasome! Al Shabab is an ideology, huwezi pigana na ideology kupitia risasi, la hasha!., marekani, na UK wameshindwa despite their well organized and sophisticated army, hao ndio wamefanya terrorism kuongezeka duniani, ideology can only be exchanged by another, vita hivi ni siasa na biashara tu.
Elewa hili; Al shabab wote ni waislamu lakini waislamu wote sio Al shabab, so hao Al shabab wanaweza kua kakako, mjomba, rafiki, jirani ama mashemeji., TPDF haiwezi lolote hapa, kama rebels wa Congo wanawakaranga je Al shabab?