Kenya: The Standard Gauge Railway Takes Shape

Sasa pia Railway towns zianzishwe so that just in case you wanna alight somewhere in the middle of the safari na ujienjoy unaweza kufanya hivo....
Itakua tourists wanapandishwa wanashukia tsavo wanazunguka alafu jioni wanapanda train wanarudi Mombasa kwa beach
 
Respect to Uhuru for bringing big challenge to East Africa
 
Safi sana wakenya hayo ndiyo maendeleo. Sisi sijui tutaanza Lin ila kwa mh raisi huyu lazima tutajenga tu za aina hiyo
 
Wakenya mpo juu sn kutokana na mipango walio jiwekea sisi Watanzania maneno mengi sn vitendo vidogo .

Ukwel utabaki kuwa ukwel wakenya wapo juu hizi ndio INFRASTRUCTURE zinazo hitajika ktk NCHI

KEEP IT UP WAKENYA sisi watanzania zakwetu ....ngojera nying.... tunaweza kutoana mapovi kwa vitu visizo na maan kama Udini ,siasa na karibu tutaanza ukabila tusuburi kidogo tu.
 
Hongereni Wakenya,mmethubutu na mmeweza natumai hapo mbeleni zitatumia umeme ili itumie nishati iliyobora....Kenyata amepata la kuongea kwenye kampeni zake hapo baadae.Mmesimamia kile mnacho kiamini hongereni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…