NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Hapa Kenya mli yumba sana, hii kitu siyo modern kabisa.
Tuonyeshe yenu modern.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Kenya mli yumba sana, hii kitu siyo modern kabisa.
Hii nadhani ndiyo sababu mkapata rail na train kama hizo, nyinyi mna angalia kama Tz hana basi. Try to be exposed, the world does not revolve around E.A only. Katika hili ata kama Tz ingekua haina mpango wa kujenga SGR nisinge thubutu kuisifia hiyo SGR yenu kwa costs mlizo incur. At this modern age what you have is inferior, this is a bitter truth but you just have to swallow it.Tuonyeshe yenu modern.
tupe ya bongolala modern,kama huna utoe ushuzi humuHapa Kenya mli yumba sana, hii kitu siyo modern kabisa.
Hii nadhani ndiyo sababu mkapata rail na train kama hizo, nyinyi mna angalia kama Tz hana basi. Try to be exposed, the world does not revolve around E.A only. Katika hili ata kama Tz ingekua haina mpango wa kujenga SGR nisinge thubutu kuisifia hiyo SGR yenu kwa costs mlizo incur. At this modern age what you have is inferior, this is a bitter truth but you just have to swallow it.
The Standard Gauge Railway is rapidly taking shape, transforming the landscape and livelihoods.
21 campsites have been put up along the route, each supervising the works on a particular section. Two factories have also been opened to supply the sleepers and T-Beams &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; for supporting bridges.
Bridges will account for 30 km of the 609 km line, including a 2km bridge over Tsavo River. Several other bridges will be built in Tsavo to allow the elephants to pass under the line. Each of these will be 7 metres high and 50 metres long.
The Sh 345 billion project is scheduled for completion in June 2017. It will carry freight trains at a speed of up to 80km/h and passenger trains at a maximum speed of 120km/h.
We have some pictures showing some of the progress.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Source: nairobiwire.com
Nani anawacheka mbona humjiamini!! Au 20 members wa JF Kenyan segment ndyo una ona ni Tz nzima. Halafu wewe ume ongelea angle ya outside look ya train ya mizigo that is being shallow. Anyways wewe baki na mtazamo wako kwamba Kenya kuna SGR na TZ haina, have a nice day and enjoy a 120km/hr ride to Mombasa. One kenyan hater told me it goes at lower than that! One of these days i should visit Nai and prove this Kenyan hater wrong.Hatuangalii Tz wana nini, Tz ndio wanaoangalia tuna nini - maboya kama wewe hivi. Sisemi haifai tuangalie Dunia Ina nini Bali ni ujinga kumcheka mwenzio aliye Na nyumba ya paa la nyasi wakati wewe mwenyewe huna nyumba. Cha pili tumewaambia humu SGR ya Kenya imetengenezwa kwa ajili ya kubeba mizigo. Dunia nzima treni za kubeba mizigo huwa hivo Wala sio hizo bullet train mnazojidanganya nazo na kama unajua treni yeyote duniani ya kubeba mizigo iliyo bullet train naomba unionyeshe. Hapa sisi tumekaa kimya tukingoja disappointment mtakayo kuwa nayo wakati treni zenu zitaletwa. Mimi huangalia hizo bullet train mnazotupostia humu hadi nacheka.
Nani anawacheka mbona humjiamini!! Au 20 members wa JF Kenyan segment ndyo una ona ni Tz nzima. Halafu wewe ume ongelea angle ya outside look ya train ya mizigo that is being shallow. Anyways wewe baki na mtazamo wako kwamba Kenya kuna SGR na TZ haina, have a nice day and enjoy a 120km/hr ride to Mombasa. One kenyan hater told me it goes at lower than that! One of these days i should visit Nai and prove this Kenyan hater wrong.
Hahaa.. basi kama Ray C ame ikubali sina budi na mimi kuikubali. Ray C ni expatriate kwenye matters of rail transport and i know you gave her access to all your files and she did a thorough analysis. I rest my case you win Mr Night walker. Have a nice lunch, a plate of Githeri will do you good.Did I respond to Tanzania? Nope, I responded to you because it's you who belittled it. Wacha kuingiza Watanzania wote Kwa siasa zako. I know many Tanzanians who love and appreciate our SGR and the fast rate at which it was implemented. One of them is musician Ray C and she made an effort to travel in it and was very impressed. I have Tanzanian friends who love it too so it's not the whole of Tanzania, it's just idiots like you.
There's no shallowness with me schooling you on how cargo trains look like considering you clearly have no idea on what they really are. I told you hard facts and if you think I'm wrong then prove me. Show me a single cargo train that's a bullet train. Like I said before, you guys are in for a big disappointment. I see many of you post light passenger trains here thinking that's what your government will buy for your SGR, lol.
Hahaa.. basi kama Ray C ame ikubali sina budi na mimi kuikubali. Ray C ni expatriate kwenye matters of rail transport and i know you gave her access to all your files and she did a thorough analysis. I rest my case you win Mr Night walker. Have a nice lunch, a plate of Githeri will do you good.
Expatriate 😛 😛 jamaa amejaribu kututisha na kizungu ...kumbe ni bongolala tuHahahaha! ati expatriate kwenye rail! Yeye sii 'expatriate' but it's obvious she's more of an EXPERT than you. Meanwhile nangoja unipe bullet cargo train kama ile mtanunua ya SGR yenu.
Nyie jamaa ni mafala sana!! Sasa Ray c uko kenya siyo kwao. Kama mtu yupo kwenye foreign land si anakua expatriate. Jaribuni kunifundisha Kikuyu ndiyo si kijuiExpatriate [emoji14] [emoji14] jamaa amejaribu kututisha na kizungu ...kumbe ni bongolala tu
Anakua EXPATRIATE KWENYE RAIL. :lol:Nyie jamaa ni mafala sana!! Sasa Ray c uko kenya siyo kwao. Kama mtu yupo kwenye foreign land si anakua expatriate. Jaribuni kunifundisha Kikuyu ndiyo si kijui
Expatriate ni mtu anaye ujuzi flani(Expat) but anafanya kazi nchi nyingine.. Expatriate is for people who work wengine ni tourist...Nyie jamaa ni mafala sana!! Sasa Ray c uko kenya siyo kwao. Kama mtu yupo kwenye foreign land si anakua expatriate. Jaribuni kunifundisha Kikuyu ndiyo si kijui
that thing travel at a speed less than 100km/h!Nani anawacheka mbona humjiamini!! Au 20 members wa JF Kenyan segment ndyo una ona ni Tz nzima. Halafu wewe ume ongelea angle ya outside look ya train ya mizigo that is being shallow. Anyways wewe baki na mtazamo wako kwamba Kenya kuna SGR na TZ haina, have a nice day and enjoy a 120km/hr ride to Mombasa. One kenyan hater told me it goes at lower than that! One of these days i should visit Nai and prove this Kenyan hater wrong.
that thing travel at a speed less than 100km/h!
U r having a cart pulled by donkey disguised as a SGR diesel engine. 😀😛Kweli you are desperate Geza.... You are running left, right and centre trying to disparage projects that are working???? Show me a scratch of Bagamoyo Port..... Just a scratch on the ground and I will feed your dog for 2 years
Mama umenoa unajichanganyaWakenya mmechelewa sana sisi tunayo ya zaidi ya Kilomita 1,000 hiyo reli ya Kichina toka 70s.
Sasa tunakuja na kitu kipya kabisa, kipo njiani.