Kenya: Timu yenu imepigwa 5 huko

Kenya: Timu yenu imepigwa 5 huko

Hardlife

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2021
Posts
2,758
Reaction score
6,299
Japo Tanzania tumepigwa 1 lakini tunajua mmekula 5. Poleni sana.

Screenshot_20211007-235553_FotMob.jpg
 
Hahahaha tumetafuta faraja. Wabongo bana.

Tuzime moto nyumba yetu kwanza. Sio tunaacha kukimbilia zima ya jirani.
 
Hehehe!! Nyuzi zingine mpaka unacheka tu, umenikumbusha kitambo nikiwa shuleni, ilikua nikipokea viboko sasa badala nitathmini kwanini nimepigwa na wapi pakuboresha, nilikua nakaa na kusubiri kwa hamu zamu ya rafiki au jirani wangu naye kupokea kibano, hiyo ilikua inanipa faraja sana.
 
Haya jumla wamekula 6-0 Mana wamepigwa Moja bila Tena .watanzania tumeshinda ugenini,manyang'au mkakimbie riadha Aya mambo mengine mtuachie .[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom