pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Wewe umeonyesha kwamba mnatuzidi katika sector nyingi na umezitaja, sasa Mimi ninapita mulemule ulimosema wewe, ila mimi sipigi domo kama wewe. Evidences.Upuuzi mtupu, Tz sio nchi 'food secure', karibuni Nairobi, kwenye kongamano la kimataifa mjifunze mengi kama sisi. Msijilinganishe na nchi kama Kenya, ambayo asilimia kubwa ni jangwa, na bado tunawapiga bao na gap kila uchao. Kiuchumi, kielimu, kiafya na kwenye viashiria vyote vingine vya maendeleo, miundo mbinu, usambazaji wa umeme, 'internet connectivity',..... demokrasia n.k. Nyinyi endeleeni tu na propaganda na 'amani' yenu ya sisiemu. https://www.reuters.com/article/tan...ngry-despites-government-denial-idUSL5N1GJ5CP [emoji115][emoji115][emoji115] Takwimu za kushangaza kuhusu njaa Tz, huku serikali ikifumba macho na kuwanyamazisha wanahabari. https://www.twaweza.org/go/sauti-hunger-2017[emoji115][emoji115][emoji115] Utafiti mwingine pia kutoka kwa mashirika yenu, twaweza, kuhusu njaa Tz.
Tanzania leads Africa in an inclusive economy-WEF reportNaona sasa tumetoka kwenye masuala ya chakula, kwasababu Tz nayo pia ni jangwa kwa asilimia kubwa, na sasa tupo kwenye demokrasia. Haya basi, nimekubali, kwenye demokrasia mmetupiku. Vijana wa Lumumba buana! [emoji1]
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...o-the-region-/2560-2467036-t6amysz/index.htmlNaona sasa tumetoka kwenye masuala ya chakula, kwasababu Tz nayo pia ni jangwa kwa asilimia kubwa, na sasa tupo kwenye demokrasia. Haya basi, nimekubali, kwenye demokrasia mmetupiku. Vijana wa Lumumba buana! [emoji1]
Tanzania overtakes Kenya as regional tourism hotspotNaona sasa tumetoka kwenye masuala ya chakula, kwasababu Tz nayo pia ni jangwa kwa asilimia kubwa, na sasa tupo kwenye demokrasia. Haya basi, nimekubali, kwenye demokrasia mmetupiku. Vijana wa Lumumba buana! [emoji1]
Tanzania touted as one of the fastest growing economies in AfricaHahaha! [emoji1] Huwa napenda kuona sana hawa wanakwaya wakipanick.
Tanzania’s bean exports feed 10 countriesHahaha! [emoji1] Huwa napenda sana kuona hawa wanakwaya wakipanick.
Instead of feeding your malnourished children you export those beans? Watoto wanakula mahindi,mihogo na uji mweupe. Hadi hurumaTanzania’s bean exports feed 10 countries
40% of your food comes from Tanzania[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Wewe ni nyanyangu ninakuheshimu sana, ila ingekua ni mkenya mwengine ningesema huna akili. Malnutrition among children is a complex, especially katika nchi ambazo uchumi wake ni inclusive kama TZ. Wamama wengi wanashiriki katika shughuli za uchumi, hivyo kukosa muda wa kutosha kuwalisha watoto wao.Instead of feeding your malnourished children you export those beans? Watoto wanakula mahindi,mihogo na uji mweupe. Hadi huruma
Kwasababu wamama wengi wa Kenya, hata wababa wengi ni jobless, muda mwingi wapo nyumbani wakilisha watoto wao[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji123]Jamaa mbishi sana. Mbona Kenya hakuna asilimia kubwa ya utapiamlo kama tz na mnasema hatuna chakula?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwasababu wamama wengi wa Kenya, hata wababa wengi ni jobless, muda mwingi wapo nyumbani wakilisha watoto wao[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji123]
Umepata mlo mkuu?hahahaha.... bila shaka katika hiyo forum the main subject itakuwa ni kenya yenyewe na wakenya maana wao ndio wahanga wa wakuu wa ukame na njaa.[emoji23][emoji23][emoji23]
He is not a glutton but a hungry man fantasizing about His elusive meal.There is no doubt that this joto la jiwe guy is a glutton. There is no day that passes without him mentioning food more than ten times in jf.