Kenya to Sell Ports, Banks, Electricity Company etc. to China


Poverty line ni $1 a day.
Kuna ingine ya less than $1.9 a day. Hapo ndipo Tanzania 60% iko.
 
Poverty line ni $1 a day.
Kuna ingine ya less than $1.9 a day. Hapo ndipo Tanzania 60% iko.
Mimi ninatumia ripoti ya WB vigezo wanavyotumia, sasa wewe tumia vile upendavyo. According to WB criteria is 28%.
 
Tzn hakuna shirika la serikali linajiendesha kwa faida ni ujinga na hasara tuu
Yale machache yanayojiendesha kwa faida yako privately owned na gvnt Ina own share kidogo ila haiko kwenye management sijui hapo kelele za nini mfano ni banks eg Nmb na crdb
 
Hhhhh,!!tuna privatise..hhhh!!jamaa kaandika selling tu china ili afurahishe wenzake
Usije sema watanzania ni manabii pale utakapo ona mchina kamilikishwa wenzio walituita manabii kuusu bomba la mafuta ya Uganda
Ukweli ni kwamba 80% ya ubinafsi shaji wenu utakwenda China
 
Hilo bomba liko wapi
Usije sema watanzania ni manabii pale utakapo ona mchina kamilikishwa wenzio walituita manabii kuusu bomba la mafuta ya Uganda
Ukweli ni kwamba 80% ya ubinafsi shaji wenu utakwenda China
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…