Hivi nyinyi mnavyojipendekeza kwa wazungu hamjui namna gani mnaidhalilisha Afrika isitoshe hata wao wamewachoka ndio maana wakamtosa mgombea wenu wa WTO
Hivi ukiwaona wakenya wanavyotaabika na njaa halafu dunya kama wewe umekaa kwenye keyboard mnajisifu utajiri huoni aibuWacheni uzembe muage umaskini, kainchi ketu kadogo ila kanawazidi mara mbili kiuchumi, wavivu nyie....
Hivi ukiwaona wakenya wanavyotaabika na njaa halafu dunya kama wewe umekaa kwenye keyboard mnajisifu utajiri huoni aibu
Siku zote mzembe huwa hawezi kuwa na chakula nyie na sisi nani wana njaa.Mkiamua kutia bidii mtatoka na kuacha kutia aibu, leo hii tunawazidi mara mbili kiuchumi, pia tunawazidi kielimu, kijeshi naa kila kitu, ilhali mna liinchi lote hilo wazembe tu....full mdebwedo
Siku zote mzembe huwa hawezi kuwa na chakula nyie na sisi nani wana njaa.
Jeshi gani ambalo mmetuzidi Ethiopia kila siku anawachapa .
Mlijaribu kutingisha kiberiti kuzuia watu wenu tulipojibu mapigo nani aliomba msamaha halafu unaandika yote hayo huku umewekewa lock down