Vitu kwa ground huwa tofauti nchi zote duniani uende marekani china watu watasema hawapati mafanikio ni hali ya binadamu.Ila vitu kwa ground ni tofaut sjui kwa nn?
Kwa iyo unataka tutumie nini kama si estimate , jemeni mnashangaza kupindukia.Estimates...
IMF estimates...
Estimates hizi hizi zilizosema saa hizi maiti zitakua zimezagaa hakuna pa kutema mate?
Kwa iyo unataka tutumie nini kama si estimate , jemeni mnashangaza kupindukia.
anataka CCM estimates huyu...
Acha povu dogo. Kubali Kenya ni bakubwa.GDP nominal ya Angola si ni $124 B....Hiyo yako itakuwa ni Kenya vs Luanda labda!!
Nani dogo lako wewe papai! Mimi nafahamu hayo mambo kuliko unavyoyafahamu!Acha povu dogo. Kubali Kenya ni bakubwa.
Gdp nominal huwa inategemea strength ya local currency versus the dollar. Currency ya Kenya haijadepreciate sana lakini ya Angola imedepreciate sana against the dollar. Currency ikipoteza value against the dollar then Gdp nominal inapungua.GDP nominal ya Angola si ni $124 B....Hiyo yako itakuwa ni Kenya vs Luanda labda!!
Yenu ni 99. Yao ni ngapi?Gdp nominal huwa inategemea strength ya local currency versus the dollar. Currency ya Kenya haijadepreciate sana lakini ya Angola imedepreciate sana against the dollar. Currency ikipoteza value against the dollar then Gdp nominal inapungua.
Guus njoo ujifunze mambo ya uchumi hapa. Unajua mimi ni mwalimu wako wa mambo ya uchumi.
Kamati ya roho chafu Geza Ulole joto la jiwe wacheni kujifanya hamjaona habari hii
WeKwa iyo unataka tutumie nini kama si estimate , jemeni mnashangaza kupindukia.
Haya Basi tupe zile za vijiweni.Ila vitu kwa ground ni tofaut sjui kwa nn?