komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Ujuaji utawamaliza nyinyiWhat hapenned to this guy, is he walking in the air?
View attachment 1572195
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujuaji utawamaliza nyinyiWhat hapenned to this guy, is he walking in the air?
View attachment 1572195
Kumbe ni wale wazee wa subaru, hatari sana hao jamaa[emoji122][emoji122][emoji122]Hawa Ni DCI ATPU unit.
View attachment 1572120
Hizo ndio mbinu ambazo KDF(Kenya Navy) walitumia kuingia na kuteka mji wa Kismaayo nchini Somalia. Kupitia Amphibious Attack, kwahivyo applicability ipo sana.Waswahili wana sema ukiiga kunya kwa Tembo utachanika msamba sasa ninacho kiona hapo ni developing county wanaiga njia za developed country. Ss applicability ya hayo mafunzo. Ni ZERO
kupigwa na watoto DRC ndiyo unaita tough missionsJeshi ya kenya kwa kweli ni takataka yani mlichowazidi Mozambique ni kuwa nyie mko na uniform pia hamtembelei ndala meaning you have boots, ila the rest ni utopolo, Tanzania ina jeshi imara sana hapa barani africa, We have done alots of tough missions
Mkuu Tupo mbele yenu sana hilo halihitaji mjadala hata kidogo yani Sitaki ata tujadili hili mana mambo ya kijeshi ni classified, Kuna vitoto vilikuja MKIRU na kule amboni caves tanga kutaka kuhatarisha usalama wa Raia mpaka ninavyo type hapa hayo maeneo ni Swari na Tulivu, Unaona msumbiji wanavyoteswa sasa Border uko imeimarishwa sana na hakuna kima atadhubutu kuvuka mpaka kuleta fujo Tanzania, Jeshi letu sisi lina nidhamu sana na ni kati ya taasisi imara ambayo ina trust kubwa na Raia ndio mana linaitwa Jeshi la wananchi, we are very strong and bold under Commander in Chief JP Magufuli, Lete maafisa wenu monduli wanolewe mana jeshi lenu limejaa vibaka tu mpaka wanaiba kwenye malls baada ya kurescue watukupigwa na watoto DRC ndiyo unaita tough missions
Mbele kwa kupigwa kichapo cha mbwa na watoto DRC. Nyinyi hata tunawaachia police unit ya recce na special warfare force watachukua mpaka dar kwa masaa chacheMkuu Tupo mbele yenu sana hilo halihitaji mjadala hata kidogo yani Sitaki ata tujadili hili mana mambo ya kijeshi ni classified, Kuna vitoto vilikuja MKIRU na kule amboni caves tanga kutaka kuhatarisha usalama wa Raia mpaka ninavyo type hapa hayo maeneo ni Swari na Tulivu, Unaona msumbiji wanavyoteswa sasa Border uko imeimarishwa sana na hakuna kima atadhubutu kuvuka mpaka kuleta fujo Tanzania, Jeshi letu sisi lina nidhamu sana na ni kati ya taasisi imara ambayo ina trust kubwa na Raia ndio mana linaitwa Jeshi la wananchi, we are very strong and bold under Commander in Chief JP Magufuli, Lete maafisa wenu monduli wanolewe mana jeshi lenu limejaa vibaka tu mpaka wanaiba kwenye malls baada ya kurescue watu
Hahahaha iv jiulize wenzenu kila kukicha wana washambukia kwa kushitukiza Je na wao wana tumia izo mambo ya amphibious ?Hizo ndio mbinu ambazo KDF(Kenya Navy) walitumia kuingia na kuteka mji wa Kismaayo nchini Somalia. Kupitia Amphibious Attack, kwahivyo applicability ipo sana.![]()
Hivi jiulize zile press up na sarakasi TPDF hufanya, wale watoto wa DRC waliowapa kichapo cha mbwa walifanya hizo pressups?Hahahaha iv jiulize wenzenu kila kukicha wana washambukia kwa kushitukiza Je na wao wana tumia izo mambo ya amphibious ?
Hahaha umesahau. Kdf kochapo walicho pigwa na migambo wasio vaa hata viatu ? Mlipo vamiwa kambi nzimaHivi jiulize zile press up na sarakasi TPDF hufanya, wale watoto wa DRC waliowapa kichapo cha mbwa walifanya hizo pressups?
Thats moon walking like Wacko Jacko! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]What hapenned to this guy, is he walking in the air?
View attachment 1572195
Usisahau kukatwa mapanga😂😂kupigwa na watoto DRC ndiyo unaita tough missions
Hivi jiulize zile press up na sarakasi TPDF hufanya, wale watoto wa DRC waliowapa kichapo cha mbwa walifanya hizo pressups?
Nyie mnaopigwa mapanga tu kule Congo na watoto,,Alshababi ndio mtawezana nalo kweli.Jeshi lenu kweli ni dhaifu sana duuh!!Hahaha nimeona jayden akiwa anangalia wale house boys wakiwa na joint ops pale Samburu... jeshi ya hovyo kabisa, they lack strategic move and planning.. yani ilikuwa orchestrated show lakini performance ya chini sana. Ndio maana shababis wanapiga sana nyie nyang`au...we are watching....
Teargass MK254 Magix Enga
Nyie mnaopigwa mapanga tu kule Congo na watoto,,Alshababi ndio mtawezana nalo kweli.Jeshi lenu kweli ni dhaifu sana duuh!!
Nyie jeshi lenu linalopigwa mapanga na kubakwa utasemaje,,,Kwa ule upuuzi uliokuwa unaendelea pale Samburu kweli hamna jeshi hapo kunya... drill ya kitoto hata mgambo wako na performance nzuri kuwaliko.
Ilete hyo drill tuion,hapa hatupigi sogaKwa ule upuuzi uliokuwa unaendelea pale Samburu kweli hamna jeshi hapo kunya... drill ya kitoto hata mgambo wako na performance nzuri kuwaliko.