Kenya toughens sea warfare team with more marine commandos

Kenya toughens sea warfare team with more marine commandos

Eti kdf wanapiga drill samburu alafu jamaa eti ywasema walikua na rutto..
Unyangau huezani nao, nyangau hajisahau kihvo
 
Eti kdf wanapiga drill samburu alafu jamaa eti ywasema walikua na rutto..
Unyangau huezani nao, nyangau hajisahau kihvo

Sasa unakataa nini kwamba kdf walikuwa na joint ops Samburu leo? jayden akiwa anashangaa chopper za hovyo pilot wanashindwa kufanya maneuver?...
 
Sasa unakataa nini kwamba kdf walikuwa na joint ops Samburu leo? jayden akiwa anashangaa chopper za hovyo pilot wanashindwa kufanya maneuver?...
EA nzima hakuna nchi inaiweza kenya sekta ya kucheza na ndege angani..
Alafu wewe kinwengo mmoja unakuja kujisifia upupu..
Si ulete hyo video watu waone uumbuke
 
EA nzima hakuna nchi inaiweza kenya sekta ya kucheza na ndege angani..
Alafu wewe kinwengo mmoja unakuja kujisifia upupu..
Si ulete hyo video watu waone uumbuke

Hizo Ethiopia wanajifunzia shabaha kila siku au? Ni kweli mnajua kucheza nazo na kudondosha skrepa hizo.

Tafuta drill ya samburu leo uone mchezo wa kitoto wa kdf..wale kazi hawawezi ni kujichocha tu ndio maana wakaumbuka.
 
EA nzima hakuna nchi inaiweza kenya sekta ya kucheza na ndege angani..
Alafu wewe kinwengo mmoja unakuja kujisifia upupu..
Si ulete hyo video watu waone uumbuke
Acha utani east afrika hakuna jeshi LA ovyo kama la Kenya?unakumbuka mlivyokabwa na alshabab?
 
Hizo Ethiopia wanajifunzia shabaha kila siku au? Ni kweli mnajua kucheza nazo na kudondosha skrepa hizo.

Tafuta drill ya samburu leo uone mchezo wa kitoto wa kdf..wale kazi hawawezi ni kujichocha tu ndio maana wakaumbuka.
Hahaha!!tuletee lini ethiopia amedungua ndege ya kdf, pia unaweza ukaniletea video ya airforce wenu wakifanya mambo[emoji3]
 
Jeshi linakatwa mapanga na watoto kule Congo,kubakwa na kutandikwa kule Mozambique utasema nini,,,
Wewe unaleta propaganda, mimi nakupa fact. Na kumaliza hii maneno leta source hapa kwamba JWTZ wamepigwa panga Congo au Msumbiji na mimi niteleta source UPDF wanavyotoboa mizinga hiyo na vile kdf walivua nguo na kuinama machakani baada ya kupigwa ambush na shababiz...leta source na mimi niweke source.
 
Hahaha!!tuletee lini ethiopia amedungua ndege ya kdf, pia unaweza ukaniletea video ya airforce wenu wakifanya mambo[emoji3]

Sasa hizo ndege za supplies zinazotunguliwa kila zikikatiza anga ya somalia huwa zinatunguliwa na nani?
 
Wewe unaleta propaganda, mimi nakupa fact. Na kumaliza hii maneno leta source hapa kwamba JWTZ wamepigwa panga Congo au Msumbiji na mimi niteleta source UPDF wanavyotoboa mizinga hiyo na vile kdf walivua nguo na kuinama machakani baada ya kupigwa ambush na shababiz...leta source na mimi niweke source.
Hyo source inayosema kdf waliingia mwituni bado ndio imesema alshabab waliuawa na hao hao kdf[emoji3][emoji3]
Labda ulete video tu
 
Hyo source inayosema kdf waliingia mwituni bado ndio imesema alshabab waliuawa na hao hao kdf[emoji3][emoji3]
Labda ulete video tu

Tatizo lako bibie unarukia kila dick hapa as long ukishajua ni mtzed..hii nimempea assignment mwenzako hapo ila ulivyo na kimuhe muhe cha kuolewa na mbongo bhas unajikuta unaparamia tu watu. Hebu jifunze kubalance shobo kwanza..

BTW Kaka zako wameshakimbia uzi huu, hebu pita uki strip tukuthaminishe kama unafaa kuletwa south huku..
 
Kwa hiyo hamna hata magwanda ya kwenu? Mpaka uvae za yule anayekufundisha?
Hawa wanapata mafunzo kutoka kwa navy seals wa marekani. 2010 iliripotiwa Kenya inatengeneza kikosi kipya cha wanajeshi wa maji watakao itwa"Naval special warfare group 4" ambao watapata mafunzo kutoka Navy seal ya marekani na Royal marines wa UK.

Jina ndiyo imegeuzwa ikatiwa "Navy special operations squadron" ikiwa na utalaam sawiya na Kenya Army special operations regiment ambao walichukua mji wa kismayo kutoka kwa mikono ya al shabaab wakiwa wanajeshi 100 tu, huku wakisaidiwa na meli za Kenya navy iliyotupa makombora kutoka kwenye meli ikipiga mji huo.

Kwa hivyo akivaa t-shirt ya navy seal ni sawa kwa vile hao ndiyo wanawapea mafunzo na wamekuwa marafiki, mbona uchungu hivyo?
 
Tatizo lako bibie unarukia kila dick hapa as long ukishajua ni mtzed..hii nimempea assignment mwenzako hapo ila ulivyo na kimuhe muhe cha kuolewa na mbongo bhas unajikuta unaparamia tu watu. Hebu jifunze kubalance shobo kwanza..

BTW Kaka zako wameshakimbia uzi huu, hebu pita uki strip tukuthaminishe kama unafaa kuletwa south huku..
Punguza jazba, link zote mnazotuma humu nazijua, iweke tuone hapa km hakuna mahali haikusema kdf ndio wamewaua al shabab kuhusiana na hyo ishu
 
Punguza jazba, link zote mnazotuma humu nazijua, iweke tuone hapa km hakuna mahali haikusema kdf ndio wamewaua al tshabab kuhusiana na hyo ishu
Jazba? Mimi nataka upunguze shobo humu angalau upate mume wa kibongo awapunguzie njaa huko kwenyu.. sasa tatizo lako unaleta ile domo domo ya gikuyu
 
Back
Top Bottom