BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
🤣🤣🤣🤣🪑Hili likifanyika Tz kuna watu tutawazika!
Tanzania tuige,Bora kutumia teknolojia kuliko Hawa wapuuziHabari za hivi punde kutoka Kenya ni kwba askari Polisi wa Usalama Barabarani wote wamabadilishiwa majumu waende kuwa askari wa kawaida.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.
View attachment 2847897
Naomba Mungu dhoruba hii ivume kwa spidi kubwa na kufika haraka nchi ya Tz.Habari za hivi punde kutoka Kenya ni kwba askari Polisi wa Usalama Barabarani wote wamabadilishiwa majumu waende kuwa askari wa kawaida.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.
View attachment 2847897
Sio kila kitu cha kuigaNaomba Mungu dhoruba hii ivume kwa spidi kubwa na kufika haraka nchi ya Tz.
Ni kweli, lakini kila jambo jema na zuri linapaswa kuigwa.Sio kila kitu cha kuiga
Lakini Ruto angeanzia huko juu.Naomba Mungu dhoruba hii ivume kwa spidi kubwa na kufika haraka nchi ya Tz.
Ni kufurahisha raia. Wanabadilisha sura tu.Habari za hivi punde kutoka Kenya ni kwba askari Polisi wa Usalama Barabarani wote wamabadilishiwa majumu waende kuwa askari wa kawaida.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.
View attachment 2847897
Asee we kijana ya Nyerere pesa ya Kenya unapeleka wapi. Pesa ya Kenya inabaki Kenya.Habari za hivi punde kutoka Kenya ni kwba askari Polisi wa Usalama Barabarani wote wamabadilishiwa majumu waende kuwa askari wa kawaida.
Haya ji moja ya maamuzi magumu ya hawa jamaa aiswe. Hii ni baada ya kuona trafiki wako busy na rushwa ilihali ajari zikiongezeka na oia kutokana na complain ya rai kuhusu kukisili kwa vitebdi vya rushwa miongoni mwa trafiki.
Hakuna tofauti sana kati ya trafiki wa Kenya na wa Tanzania kwenye swala la kuomba rushwa.
View attachment 2847897