Kenya trend evrywhere

Kenya trend evrywhere

Ushamba ni mzigo, mzungu akikuongelea tu hata kwa ukabila unaona ndio prestige and respected, kisa ni mzungu ptuuuuu

Hivi wakenya umbumbumbu mtaacha lini na ushamba uliopea?


Hapo ndipo na mimi ninaposhindwa kuelewa, ukiangalia kinachoongelewa siyo jambo positive lkn Mwafrika anashangilia, sababu tu Muzungu kasema, ni ajabu sana!
 
watu wa south should just shut it...Kenya trend because its well known make your country known
 
Ushamba ni mzigo, mzungu akikuongelea tu hata kwa ukabila unaona ndio prestige and respected, kisa ni mzungu ptuuuuu

Hivi wakenya umbumbumbu mtaacha lini na ushamba uliopea?
Ushamba nikusimama kwa bus za brt juu wazungu wanasimama....Trump is the most powerful man on earth akitaja Kenya lazima ikue news

sent from iPhone 7
 
Back
Top Bottom