Hayo yanaitwa makavu, hakuna povu hapo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Naona povu kutoka mkoa wa kenya uitwayo Tanzania ....our biggest province
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushamba ni mzigo, mzungu akikuongelea tu hata kwa ukabila unaona ndio prestige and respected, kisa ni mzungu ptuuuuu
Hivi wakenya umbumbumbu mtaacha lini na ushamba uliopea?
Ushamba nikusimama kwa bus za brt juu wazungu wanasimama....Trump is the most powerful man on earth akitaja Kenya lazima ikue newsUshamba ni mzigo, mzungu akikuongelea tu hata kwa ukabila unaona ndio prestige and respected, kisa ni mzungu ptuuuuu
Hivi wakenya umbumbumbu mtaacha lini na ushamba uliopea?