KENYA TUnawakilishi tuu!!!

Aisei you people are several millimeter thick, yaani naona hata hukuelewa nilichokisema, bado unakurupuka kama zezeta fulani. Naomba usome nilichokisema, urudia mara kumi na kama bado hutokua umenielewa basi wewe hata kwa dawa hutopata msaada.
Huwezi kupoteza mda kumuelewa ng'ombe wa bandani kwako hapa kula fimbo tu ukitaka kueleweka nenda kwa ng'ombe wenzio
 
Wewe una lugha gani, kama sio Waarabu kuja kuwafundisha nyie mijitu jinsi ya kuchamba hata hicho Kiswahili hamgekijua. Tatizo mliiga hata uzembe, uvivu na ubumbubu wa Waarabu.
Taja nchi ya kiarabu yenye mafukara wengi kama Kenya . Nyie funza tu hamna chochote cha kujivunia zaidi ya kuleta mashauzi ya kike humu.
 
Hongera sana kwa Miss Kenya,
Japo miss Tz Nancy Sumari did that.

To me honestly huwa sipendi hizo nywele za wahindi waliokufa, I love natural things, Hongera kwa miss Tz Diana Edward Lukumay.



She is only 18, she Natural, Virgin, Pure, Innocent , polite, intelligent and I am sure she will reach very far,
Goodluck Diana. We love you!
 

Attachments

  • IMG_20161220_112452_809.JPG
    60.9 KB · Views: 92
but mimi mkenya na nawapenda warembo wa tanzania sanaaaa.. ........love them mimi ntamuoa mbongo.
 
Miss Kenya 2016 DECLARED MISS AFRICA
PH bet finishes in top 5 of Miss World 2016
ABS-CBN News

Posted at Dec 19 2016 07:20 AM | Updated as of Dec 19 2016 07:55 AM


Miss Puerto Rico Stephanie Del Valle (C) reacts to being named Miss World as Miss Philippines Catriona Elisa Gray (L) and Miss Kenya Evelyn Njambi Thungu watch during in the Miss World 2016 Competition in Oxen Hill, Maryland, U.S., December 19, 2016. Joshua Roberts, Reuters

Miss world and Miss Africa pose together



Congratulations to Miss Kiambu Evelyn Njambi Thungu for having been crowned MissAfrica and ranking top five in the Miss World competitions held in Washington DC USA.
 

nywele za waliowafu hapa basi kwa video ya diana wako!!!

 
This girl is beautiful but amekosa mastylist wa kumuweka poa Kama Huyo miss Kenya ....

Hata Huyo miss Kenya is just average lookin and being in top five of MW does not change anything coz she wasn't choosen only by her looks ..

Though yuko na bone structure poa



U see the true meaning of beauty
nywele za waliowafu hapa basi kwa video ya diana wako!!!

 
huyu wa kawaida sana na sababu beauty is in the eyes of the beholder kama unafahamu huu msemo. nitafika kikomo nikisema kila nyani na mti wake hamna hukosa!!!
 
huyu wa kawaida sana na sababu beauty is in the eyes of the beholder kama unafahamu huu msemo. nitafika kikomo nikisema kila nyani na mti wake hamna hukosa!!!

yah kila mtu ana macho yake ila kwa uzuri wa huyu binti si wa kumuita wa kawaida sana na kama ni wa kawaida sana bhasi nahisi wakenya wote ni wazuri mithili ya malaika
 
yah kila mtu ana macho yake ila kwa uzuri wa huyu binti si wa kumuita wa kawaida sana na kama ni wa kawaida sana bhasi nahisi wakenya wote ni wazuri mithili ya malaika
Hehehe wanajijua haihitaji kusema
 
hapo kaka umenena....
 
Unaogopa kuchapwa na mademu wa Nyeri.
Hehehe bana iseee hawa wetu wa nyeri ni wenda wazimu......wakiona unazo hela wanakumaliza..... Ata sio kichapo tu... Anakuitia majambazi.
 
Sa hv naona mnaenda kwa kasi kujikomba kwa ethiopia mkalilie na huko wawafungulie mipaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…