KENYA TUnawakilishi tuu!!!

KENYA TUnawakilishi tuu!!!

Aisei you people are several millimeter thick, yaani naona hata hukuelewa nilichokisema, bado unakurupuka kama zezeta fulani. Naomba usome nilichokisema, urudia mara kumi na kama bado hutokua umenielewa basi wewe hata kwa dawa hutopata msaada.
Huwezi kupoteza mda kumuelewa ng'ombe wa bandani kwako hapa kula fimbo tu ukitaka kueleweka nenda kwa ng'ombe wenzio
 
Wewe una lugha gani, kama sio Waarabu kuja kuwafundisha nyie mijitu jinsi ya kuchamba hata hicho Kiswahili hamgekijua. Tatizo mliiga hata uzembe, uvivu na ubumbubu wa Waarabu.
Taja nchi ya kiarabu yenye mafukara wengi kama Kenya . Nyie funza tu hamna chochote cha kujivunia zaidi ya kuleta mashauzi ya kike humu.
 
Hongera sana kwa Miss Kenya,
Japo miss Tz Nancy Sumari did that.

To me honestly huwa sipendi hizo nywele za wahindi waliokufa, I love natural things, Hongera kwa miss Tz Diana Edward Lukumay.
IMG_20161220_113638_472.JPG
IMG_20161220_113608_605.JPG
IMG_20161220_113653_706.JPG
IMG_20161220_113623_710.JPG
IMG_20161220_112439_045.JPG
IMG_20161220_112425_341.JPG



She is only 18, she Natural, Virgin, Pure, Innocent , polite, intelligent and I am sure she will reach very far,
Goodluck Diana. We love you!
 

Attachments

  • IMG_20161220_112452_809.JPG
    IMG_20161220_112452_809.JPG
    60.9 KB · Views: 92
Mnafikiri wazungu hawakijui kilicho asili?....wengi wenyu humo tanganyika mnajichubua, meaning you are fake.
Kinachoangaliwa ni UASILIA WA MTU, UKUBWA WA AKILI...BONGO...BONGO..BONGO....
Hata nikimtazama dada huyu urefu na mpangilio wa mifupa (body frame)upo imara, wengi wenyu wabongo wafupi mithili ya MBILIKIMO WA KONGO, mikorogo,kujichubua,kichwani kweupe,wapi na wapi?
Kumbuka yule dada wa kinijeria aliyeshinda miss world zama zile...(AGBANI DAREGO)..tena alikua mweusi kama chokoleti vile, rangi tamu na adimu inayoashiria UAFRIKA.
Hongera zake dada wa kikenya, umeiwakilisha Afrika ulipofika hapo.
but mimi mkenya na nawapenda warembo wa tanzania sanaaaa.. ........love them mimi ntamuoa mbongo.
 
Hongera sana kwa Miss Kenya,
Japo miss Tz Nancy Sumari did that.

To me honestly huwa sipendi hizo nywele za wahindi waliokufa, I love natural things, Hongera kwa miss Tz Diana Edward Lukumay.
View attachment 448444View attachment 448446View attachment 448447View attachment 448448View attachment 448449View attachment 448450


She is only 18, she Natural, Virgin, Pure, Innocent , polite, intelligent and I am sure she will reach very far,
Goodluck Diana. We love you!
Miss Kenya 2016 DECLARED MISS AFRICA
PH bet finishes in top 5 of Miss World 2016
ABS-CBN News

Posted at Dec 19 2016 07:20 AM | Updated as of Dec 19 2016 07:55 AM
121916_gray2.jpg


Miss Puerto Rico Stephanie Del Valle (C) reacts to being named Miss World as Miss Philippines Catriona Elisa Gray (L) and Miss Kenya Evelyn Njambi Thungu watch during in the Miss World 2016 Competition in Oxen Hill, Maryland, U.S., December 19, 2016. Joshua Roberts, Reuters

Miss world and Miss Africa pose together

15665919_1018290771615876_534747696506571117_n.jpg


Congratulations to Miss Kiambu Evelyn Njambi Thungu for having been crowned MissAfrica and ranking top five in the Miss World competitions held in Washington DC USA.
 
Hongera sana kwa Miss Kenya,
Japo miss Tz Nancy Sumari did that.

To me honestly huwa sipendi hizo nywele za wahindi waliokufa, I love natural things, Hongera kwa miss Tz Diana Edward Lukumay.
View attachment 448444View attachment 448446View attachment 448447View attachment 448448View attachment 448449View attachment 448450


She is only 18, she Natural, Virgin, Pure, Innocent , polite, intelligent and I am sure she will reach very far,
Goodluck Diana. We love you!

nywele za waliowafu hapa basi kwa video ya diana wako!!!

 
This girl is beautiful but amekosa mastylist wa kumuweka poa Kama Huyo miss Kenya ....

Hata Huyo miss Kenya is just average lookin and being in top five of MW does not change anything coz she wasn't choosen only by her looks ..

Though yuko na bone structure poa

b158b4e6c9b5924c9e999a921d24af26.jpg


U see the true meaning of beauty
nywele za waliowafu hapa basi kwa video ya diana wako!!!

 
This girl is beautiful but amekosa mastylist wa kumuweka poa Kama Huyo miss Kenya ....

Hata Huyo miss Kenya is just average lookin and being in top five of MW does not change anything coz she wasn't choosen only by her looks ..

Though yuko na bone structure poa

b158b4e6c9b5924c9e999a921d24af26.jpg


U see the true meaning of beauty
huyu wa kawaida sana na sababu beauty is in the eyes of the beholder kama unafahamu huu msemo. nitafika kikomo nikisema kila nyani na mti wake hamna hukosa!!!
 
huyu wa kawaida sana na sababu beauty is in the eyes of the beholder kama unafahamu huu msemo. nitafika kikomo nikisema kila nyani na mti wake hamna hukosa!!!

yah kila mtu ana macho yake ila kwa uzuri wa huyu binti si wa kumuita wa kawaida sana na kama ni wa kawaida sana bhasi nahisi wakenya wote ni wazuri mithili ya malaika
 
yah kila mtu ana macho yake ila kwa uzuri wa huyu binti si wa kumuita wa kawaida sana na kama ni wa kawaida sana bhasi nahisi wakenya wote ni wazuri mithili ya malaika
Hehehe wanajijua haihitaji kusema
 
kama si Kenya na Ethiopia sijui nani angekuwa anaiwakilisha eastafrica, wenzetu hua wako usingizi wa pono, kazi ni kulalama kila siku wakijiona bora, ilhali hakuna wanapo ipeperusha bendera ya Africa, sio kwa michezo, ubunifu wala chochote... bure kabisa.
hapo kaka umenena....
 
Sa hv naona mnaenda kwa kasi kujikomba kwa ethiopia mkalilie na huko wawafungulie mipaka
 
Back
Top Bottom