joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mbona ukabila unazidi kuchanua siku hadi siku, vipi muwe na ukarimu na wageni wakati ninyi wenyewe hampendani?, Kenya ni kichekesho cha karne. Vipi mjaluo na mkikuyu iwe ni vigumu hata kufunga ndoa, au kusali kanisa moja lakini eti mnawapenda watu kutoka nchi za jirani?Tumewachukua hata omba omba wenu. Kenya tupo na Eritrea ndogo, Ethiopia ndogo, south sudan ndogo, rwanda ndogo yani karibia waafrika wote wapo na mahala wanaita nyumbani hapa Kenya bila ubaguzi.