kwa nini?? kivipiSio sawa.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Na huko ITunes vipi nako
Kichaa kabisaHujasoma hesabu nini?
Hapo unarejea kwenye percentage unachukua 77 kwa 21 na both zipo 3,ina maana hizo tatu zipo pande zote mbili so, chakufanya toa 3 kila sehemu utabakiwa na 74 kwa 17 na zile tatu na kila upande jumla 6,ukijumlisha na 3 unapata 9 kwahiyo hesabu inakuwa kama ifuatavyo.
74% + 17% + 9% =100%
Kama ulitoroka hesabu huwezi elewa hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hesabu ya kilevi peleka kwenye mbege hukoHujasoma hesabu nini?
Hapo unarejea kwenye percentage unachukua 77 kwa 21 na both zipo 3,ina maana hizo tatu zipo pande zote mbili so, chakufanya toa 3 kila sehemu utabakiwa na 74 kwa 17 na zile tatu na kila upande jumla 6,ukijumlisha na 3 unapata 9 kwahiyo hesabu inakuwa kama ifuatavyo.
74% + 17% + 9% =100%
Kama ulitoroka hesabu huwezi elewa hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app