Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,589
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo kutengeneza prepaid electric meters kuna hitaji umeme mwingi kama wakenya!! Hahaa nimecheka kwa dharau.. For your info Tz electric capacity exceeds her demand. Ila demand inakua kwa haraka sana ndiyo maana tuna plans ya kuongeza capacity.
Wamezowea kusoma magazeti ya kwao yanaoandika habari za uwongo kuhusu Tanzania