Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wako pamoja kwa sababu wanaona adui yao ni TZ katika EAC, nasubiri msimamo wa serikali....utaona siku serikali ikitangaza nia ya kujitoa EAC hali itakavyokuwa...is better to have burundi, DRC PLUS Zambia, Malawi than all these three junky states.
Of course sir...but your politicians especially your president will be very fun and stupid if he is willing to ditch TZ a 45+ million people market for Rwanda of less to 5ml people.
He is preparing an economical catastrophic for Kenya industries which sells in tz market.
Perfect, stop complaining then and move on.
A population of 45+ million people with less than 10% of it having a buying power is just useless. We'd rather empower the 5M people to be consumers
With much respect, I don't think the move is driven by hate. Tanzanians have time and again deplored the 'hasty' integration process. The local mood is that integration is best done at a pace that will not result in Tz being at a disadvantage. Kenya, Uganda and Rwanda on the other hand want integration yesterday. The recent action might be a blessing in disguise for Tz because it will open a window into what such integration details, and allow for appropriate adjustments to be made before jumping in.
On Burundi, what most ppl don't seem to realise is that Kenya and Burundi had a no visa requirement - agreement with each other long before Burundi even joined the EAC.
And these are your two cents, if size was the issue doesn't Greenland offer a much better option?
With much respect, I don't think the move is driven by hate. Tanzanians have time and again deplored the 'hasty' integration process. The local mood is that integration is best done at a pace that will not result in Tz being at a disadvantage. Kenya, Uganda and Rwanda on the other hand want integration yesterday. The recent action might be a blessing in disguise for Tz because it will open a window into what such integration details, and allow for appropriate adjustments to be made before jumping in.
On Burundi, what most ppl don't seem to realise is that Kenya and Burundi had a no visa requirement - agreement with each other long before Burundi even joined the EAC.
I know someone will start to mention Congo has been unstable for years...but that has been purely as a result of a Tanzania vs rwanda conflict within DRC
have you thought of habitation by wild animal or human being before posting this scrap?
Sour grapes, the arrangement doesn't have anything to do with Tanzania; why don't you take your time and reflect why its any of your business?
Do the countries have to consult the mighty Tanzania before implementing policies they deem fit for their countries?
I had forgotten that Tanzania is the only country with wildlife
Joint visa ya shengen ni citizens visa for EU citizens to travel within the eu….this joint visa program Kenya Uganda na rwanda ni ya watalii kutoka nchi ya kigeni. Wengi wa watanzania hawaelewi tayari kuna integration AM. Call it as you may..I have just read somewhere that Kenyan investors after UK and marekani is the second largest groups of FDI investors pamoja na ile idadi ya wakenya wengi wanafanya kazi Tanzania.
That alone ni ishara tosha integration is possible in many other sectors. Hivyo, practically, integration is possible, tatizo pengine ni wanaofaidika kutoka kwa state bureaucracy wataipinga kwa kutoa vijisababu mbali mbali. Uingereza kukataa kuweka mkataba wa joint visa wa shecngen sio sababu. Lazima tuangalie ni lini Joint visa hiyo ilikubalika.
It is possible for utalii to thrive in Uganda and Rwanda inategemea uongozi uliopo na pia ni vizuri to base your points on current statistics kutoka kwa idara mbali mbali ya mataifa hayo badala ya kutumia sources kama CIA factbooks, how well are CIA fatcbooks updated, do we know???!!.
Mfano mzuri nitakupa ni mabadiliko ya sera za kiuchumi na biashara kagame ameleta Rwanda. much as he is condemned by the west and as africana we enjoy singing along with what the west says!!... Ukweli ni kwamba hata mie sijawahi kupata sababu kamili magazetini au kokote, zilizofanya uingereza kukataa kushiriki kwenye joint visa program.
Pili,hujatoa sababu zozote kusema kwanini Kenya itafaidika sana,…hujatoa sababu kama itafaidika kifedha au kivipi??…nijuavyo, kando na visa permit, Uganda Kenya na rwanda zinafanya mipango ikitumia rasilimali zao wenyewe kuboresha miundo mbinu, kuboresha hali ya usalama kutokana na madhara ya ugaidi wa alshabaab na alqaeda… yakitumia fedha zao binafsi.… ….The end result, watakaofaidika ni Rwanda na Uganda wenyewe kwa kuboresha sekta za uchumi na biashara….rwanda is on course, ranked number one in africa ya kuondoa vidhibiti vya kuzuia ubora wa kufanya biashara…. Uganda nao wameweka plans za ujenzi wa reli na mambo mengine….kenya nao LAPPSETT ndio hio….kwahivyo, joint visa is just part of a greater plan….
Tatu, maslahi ya Tz ni gani mpaka sasa, na kuna matumaini ya kutimiza maslahi yake miaka hamsini baada ya kupata uhuru, taifa inalojivunia ardhi kubwa.
Nne, sudan kusini na Somalia wanatamani kuingia EAC, na wanafanya mambo haya kwa msingi wa kihistoria..wameshagundua wenyewe ni wapi kuna mafinikio ya kiuchumi na wanatamani kujiunga na wale wamefanikiwa... where they will be guranteed of economic freedoms and growth, not forgetting economic stability na sio shinikizo ya kenya kwa sudan...hivyo EAC, guarantees them that security..
Usalama wa mataifa ya afrika ya mashariki sio sababu ya kufanya kutoangalia manufaa ya joint visa. Tayari tuna mataifa ya kiafrika (Tanzania na Rwanda ) yanayotatua mzozo wa DRC bila mafanikio. Is there any hope that italeta suluhu congo….indicators zinaonyesha not very soon... maana nimesema mara kwa mara, of the current DRC players,, hakuna wa kuaminika.
It's a fact that most East African would prefer to enter and work in Tanzania then the rest of East African Countries. The environment and Opportunity available attract many east African to come and work in Tanzania. Also the peaceful atmosphere makes Dar es Salaam hot cake for job seekers and settlers.
Very few Tanzanians have ambitions to work in Kenya and Uganda .The tribalism in Kenya makes difficult for non Kenyans to get employed even if ones is qualified. So apart from agreements by member states there is a problem of culture and tribalism which would make Tanzanian not to benefits
Single visa for tourism entry is ok as some tourists in Europe and other areas would like to visit 2 or more countries when they come to East African. However this arrangement needs comprehensive talk to reach into a suitable agreement. They are issue of security. We all know so many people with UK passports have entered into Kenya and were implicated on terrorism so this issue as Tanzanian we must address
Issue concerning how the visa fees would be monitored and distributed accordingly to member states and on what formaula?
Most international airlines prefer Nairobi as their hub and if single tourist visa is establish the will shall see all other airline stop in Nairobi and this will deny other countries revenues and air transport
UK and Ireland have not agreed on schengen visa because they know they will receive bogus tourists who would not leave UK.
The same problem we are facing thousands of immigrants from Eretria, Ethiopia and Somali are apprehended every month in Tanzania. These illegal Immigrants are allowed without problem to pass through Kenya to Tanzania!!!!! Now imagine if we have single visa and at the same time ID are used to pass through borders….how many wakimbizi tutapokea?
Another area where Kenyans are pushing is entry of south Sudan, this is new country and very poor but Kenyan are pushing as they only look on one side they have industries and south Sudan have nothing therefore its readymade market of their goods and the share border with south Sudan so it's another advantage for them . It's not easy for Tanzanian to enter into Sudan and trade. Kenyan is pushing this issue even though they know that there is security concerned from juba. Integrating these people who have been fighting for the last 30 years and still fighting would jeopardize our peace.
First you must keep your house in order, make sure that security is improved and make sure tribalism has no room in EAC .
Tunawatakia kila raheli, na mafanikio yenye fanaka. Ila Tz hatutaki, that's it, nothing less nothing more.
Pia nikurekebishe kidogo Shengen sio EU citizen, wewe hapo mkenya ukipewa visa ya shengen unaweza zunguka nchi zote za shengen. Na pia, shengen has got nothing to do with EU, kwani mfano Norway haiko ndani ya EU lakini bado ipo ndani ya shengen.
EURO zone, ndio iko related na EU, ambapo UK sio mwanachama wa euro zone na pia si mwanachama wa shengen.