Barbarosa JF-Expert Member Joined Apr 16, 2015 Posts 22,584 Reaction score 27,817 Jul 25, 2016 #1 Nchi zifuatazo huwapekuwa na kuwakagua Wafungwa kwenye mkundu ili kubaini kama ni mashoga au la, hii ni kulingana na taarifa ya UN, TZ yetu haimo kwenye orodha lkn sina uhakika kama sisi hatufanyi huo upekuzi na udhalilishaji mkubwa! Kwa hisani ya Human Rights Watch!
Nchi zifuatazo huwapekuwa na kuwakagua Wafungwa kwenye mkundu ili kubaini kama ni mashoga au la, hii ni kulingana na taarifa ya UN, TZ yetu haimo kwenye orodha lkn sina uhakika kama sisi hatufanyi huo upekuzi na udhalilishaji mkubwa! Kwa hisani ya Human Rights Watch!
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 23,265 Reaction score 17,120 Jul 25, 2016 #2 Sio kweli. Ukaguzi ni kuangalia kama wafungwa na hasa mahabusu wameficha nini huko. Nasikia huwa bangi na hata chapati hupenyezwa gerezani kwa njia hiyo.
Sio kweli. Ukaguzi ni kuangalia kama wafungwa na hasa mahabusu wameficha nini huko. Nasikia huwa bangi na hata chapati hupenyezwa gerezani kwa njia hiyo.
kambagasa JF-Expert Member Joined Aug 18, 2014 Posts 2,269 Reaction score 1,803 Jul 25, 2016 #3 Hizi post za kishoga zimetamba sana tangu balozi wa mashoga Kaoge apigwe ban na porojo zake Take One ya Zamaradi.
Hizi post za kishoga zimetamba sana tangu balozi wa mashoga Kaoge apigwe ban na porojo zake Take One ya Zamaradi.
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,496 Jul 26, 2016 #4 Thats gross.