Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Nchi zifuatazo huwapekuwa na kuwakagua Wafungwa kwenye mkundu ili kubaini kama ni mashoga au la, hii ni kulingana na taarifa ya UN, TZ yetu haimo kwenye orodha lkn sina uhakika kama sisi hatufanyi huo upekuzi na udhalilishaji mkubwa!
Kwa hisani ya Human Rights Watch!