Mzembe ni wewe na u$&$&@ wako nyambafu kabisa! Kutwa kututukana kwa kipi tulichowakosea? Jibu hoja sio kuleta umbululazzzz mfyweeeee
Maneno ya mkosajiUtalii hutegemea jinsi unavyojinadi na bidii yako, kuna nchi zinategemea beaches/fukwe pekee yake lakini wanapata watalii zaidi ya Tanzania yenye kila aina ya kivutio.
Maneno ya mkosaji
Nani mkosaji hapa?.....kwa maana naona wenye "vivutio vingi"ni masikini wa kutupwa na hawazifaidi, wengine wanajifaidisha!