BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.
IT IS SO DECLASSIFIED!
IT IS SO DECLASSIFIED!