Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

Kenya: Uhuru Kenyatta na Raila Odinga wadaiwa kupanga njama za kumuondoa Rais Ruto Madarakani

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.

IT IS SO DECLASSIFIED!
1688664278455.png

1688664254029.png


1688664196038.png

1688664214088.png
 

Attachments

  • 1688664093652.png
    1688664093652.png
    64.9 KB · Views: 7
  • 1688664175307.png
    1688664175307.png
    149.3 KB · Views: 9
mleta mada wafaa kujiuliza maswali kadhaa
1. sababu ya kumtoa ruto mamalakani ni gani?
2. uhuru na raila watamtoaje ruto mamlakani? (what options do they have)
3. Katiba ya kenya yasemaje kuhusu njia za kumbandua rais aliyekalia kiti?
Ukiweza kujibu haya maswali nishtue.
 
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.

IT IS SO DECLASSIFIED!
View attachment 2680403
View attachment 2680401

View attachment 2680396
View attachment 2680398


Wakenya wana hamu ya Damu, mtu kashinda kwa uchaguzi, kaapishwa, mahakama imepitisha, Raila anataka nini tena?
 
Uhuru bado anamchezea Raila.

Ashindwe kumzuia Ruto asiwe rais wakati akiwa madarakani ndio aje amtoe akiwa hana nguvu?
 
Sielewi wakenya wanataka nn hasa...Kila kitu kwao hawataki, hawapendi....so at the end of the day watabaki wanajichukia na kuanza kujiua wenyewe Kwa wenyewe. Haya maisha hayako sawa....expect no equality in this life, better love yourself,love your neighbor, never envy anyone....you will live better and happy. Just my advice to kenyans
 
Uhuru bado anamchezea Raila.

Ashindwe kumzuia Ruto asiwe rais wakati akiwa madarakani ndio aje amtoe akiwa hana nguvu?
Raila kazeeka na akili zake zimezeeka, akaona kuliko kuzeeka mwenyewe bora azeeshe na akili za wakenya wengine😀
 
mleta mada wafaa kujiuliza maswali kadhaa
1. sababu ya kumtoa ruto mamalakani ni gani?
2. uhuru na raila watamtoaje ruto mamlakani? (what options do they have)
3. Katiba ya kenya yasemaje kuhusu njia za kumbandua rais aliyekalia kiti?
Ukiweza kujibu haya maswali nishtue.
We mujamaa!!

Kumnyang'anya police Bunduki ni gani!!?

Si unahakikisha hana pumzi ya kuvuta!!?

Au!!?
 
Back
Top Bottom