Sio katiba inaruhusu hivoduh aiseee treason
Kupitia ujumbe uliochapishwa na Dennis Itumbi, alikuwa Kampeni Meneja wa Rais William Ruto, amesema taarifa za Kiintelijensia kutoka kwa Maafisa wa Hustler Nation Intelligence Bureua (HNIB) zimeeleza kuwa Rais Mtaafu Uhuru Kenyatta amefanya Kikao maalum cha SIRI nyumbani kwa kiongozi wa Upinzani Raila Odinga.
IT IS SO DECLASSIFIED!
View attachment 2680403
View attachment 2680401
View attachment 2680396
View attachment 2680398
Raila kazeeka na akili zake zimezeeka, akaona kuliko kuzeeka mwenyewe bora azeeshe na akili za wakenya wengine😀Uhuru bado anamchezea Raila.
Ashindwe kumzuia Ruto asiwe rais wakati akiwa madarakani ndio aje amtoe akiwa hana nguvu?
We mujamaa!!mleta mada wafaa kujiuliza maswali kadhaa
1. sababu ya kumtoa ruto mamalakani ni gani?
2. uhuru na raila watamtoaje ruto mamlakani? (what options do they have)
3. Katiba ya kenya yasemaje kuhusu njia za kumbandua rais aliyekalia kiti?
Ukiweza kujibu haya maswali nishtue.